Landcruiser 80 generation, Gasoline/Petrol ni ugonjwa wa moyo!

Black Legend

Member
Jul 28, 2015
97
120
A dream car,,,,,,all weather,,,,all businesses
05.jpg
09.jpg
07.jpg
06.jpg
 
d8fbabe0f118e3ee4dbd6efe2768fe5f.jpg

572cdc02dc8ea983b5360feaeb07a743.jpg


Hii moja ya juu ni petrol gia tatu zinafunguka balaa ingawa za zamani sasa hivi huwezi kuzipata.
hii ya chini ndio niliojifunzia udereva lilikuwepo hom haya magari hayana pawastering yaani na breki ya hili gari letu ilikuwa ya kubangaiza.ni shida napenda sana hizi gari
 
Watu wakituma picha kama hizi watu wenye vigari vidogo dogo hulazimika kuvifunika maturubai wakiulizwa wamefunika nini wanasema magunia ya mahindi
Nimecheka saana man,,,,,,,kiukweli kama uwezo unakuwepo....haya ndiyo magari yenye uwakika saana hasa katika shughuri zetu kiafrika....
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom