Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

Nilishangaa sana Wkt wa hii Vita ya Ukraine Boris(PM wa UK by then) alinunua landcruiser za kutosha na kuzipeleka Ukraine kusaidia Vita,sijui kwanini hakununua Gari yoyote Ile kutoka Landrover(UK) na kuzipeleka field. 😄😄.

USA nao wakapeleka LC 70 series huko Ukraine sijui kwanini hawakupeleka Ford,GM etc
USA & UK wana malengo yao pale Ukraine. Ni kama wameamua kumpa chochote Mjapani nayeye anufaike na huo mgogoro. Kumtuliza Mjapani kiaina.
 
Hv nyie Mmezion BMW X7 Audi Q7, Porsche na benzi gl300
Muongezee na RR, Maybach, lamborghini aventador, Ferrari...Kimsingi huyu jamaa hajui Luxury cars...anashindwa kutofautisha kati ya gari la abiria na mizigo na Luxury car...Hakuna Luxury car yenye seat nane....huwezi ona superstar wa music,,,mpira au kitu chochote huko dunian anaendesha brand yoyote ya toyota. Hizo tunaendesha sisi maskini wa Africa. Naipenda hyo gari kutokana tu na kuwa inahimili barabara zetu mbovu ila siwezi irate kama Luxury car...HAPANAAA...Huwezi pata brand new luxury car kwa usd 150,000 popote pale duniani ambayo ndo bei ya brabd new Vx V6 anayoongelea bwana huyu
 
Muongezee na RR, Maybach, lamborghini aventador, Ferrari...Kimsingi huyu jamaa hajui Luxury cars...anashindwa kutofautisha kati ya gari la abiria na mizigo na Luxury car...Hakuna Luxury car yenye seat nane....huwezi ona superstar wa music,,,mpira au kitu chochote huko dunian anaendesha brand yoyote ya toyota. Hizo tunaendesha sisi maskini wa Africa. Naipenda hyo gari kutokana tu na kuwa inahimili barabara zetu mbovu ila siwezi irate kama Luxury car...HAPANAAA...Huwezi pata brand new luxury car kwa usd 150,000 popote pale duniani ambayo ndo bei ya brabd new Vx V6 anayoongelea bwana huyu
Luxury cars za $150,000 ni nyingi sana tu.

Labda unatafsiri nyingine kwa maana ya luxury cars.
 
Muongezee na RR, Maybach, lamborghini aventador, Ferrari...Kimsingi huyu jamaa hajui Luxury cars...anashindwa kutofautisha kati ya gari la abiria na mizigo na Luxury car...Hakuna Luxury car yenye seat nane....huwezi ona superstar wa music,,,mpira au kitu chochote huko dunian anaendesha brand yoyote ya toyota. Hizo tunaendesha sisi maskini wa Africa. Naipenda hyo gari kutokana tu na kuwa inahimili barabara zetu mbovu ila siwezi irate kama Luxury car...HAPANAAA...Huwezi pata brand new luxury car kwa usd 150,000 popote pale duniani ambayo ndo bei ya brabd new Vx V6 anayoongelea bwana huyu
Wewe unazungumzia luxury mi nazungumzia SPEED NA Comfortability ya gari kuhimili mazingira yote ya lami na pori kwa pori!
HIZO GARI ULIZOTAJA UKIPELEKA RAFU ROAD NI KUKU WA KIZUNGU
 
Mkuu hizi gari zisikie tu.
Zina power mpaka 300HP na turbocharger mbili.
Hivyo zikiovertake power gain ni kali sana.
Ninayo moja LC200 nami naelekea Dom.
Kuna Brevis akaona nakuja akakanyaga.
Hakujua LC200 ukikanyaga turbochargers zote zinafunguka, nilimpita akiwa 180km/r
Kujisifia upumbavu tu
 
DSC_1462.jpg DSC_1470.jpg DSC_1472.jpg DSC_1491.jpg DSC_1493.jpg DSC_1494.jpg DSC_1511.jpg DSC_1522.jpg DSC_1523.jpg DSC_1524.jpg DSC_1526.jpg DSC_1530.jpg DSC_1532.jpg DSC_1535.jpg DSC_1537.jpg DSC_1540.jpg DSC_1543.jpg DSC_1546.jpg DSC_1548.jpg DSC_1552.jpg DSC_1554.jpg DSC_1562.jpg DSC_1565.jpg DSC_1567.jpg DSC_1568.jpg DSC_1586.jpg DSC_1588.jpg DSC_1590.jpg DSC_1591.jpg DSC_1598.jpg

KWA HOJA YA MLETA UZI..............HYO NDO NDEGE YA CHINI ANAYOTUMIA MADELU KWA HISANI YA KODI ZETU....
 
Muongezee na RR, Maybach, lamborghini aventador, Ferrari...Kimsingi huyu jamaa hajui Luxury cars...anashindwa kutofautisha kati ya gari la abiria na mizigo na Luxury car...Hakuna Luxury car yenye seat nane....huwezi ona superstar wa music,,,mpira au kitu chochote huko dunian anaendesha brand yoyote ya toyota. Hizo tunaendesha sisi maskini wa Africa. Naipenda hyo gari kutokana tu na kuwa inahimili barabara zetu mbovu ila siwezi irate kama Luxury car...HAPANAAA...Huwezi pata brand new luxury car kwa usd 150,000 popote pale duniani ambayo ndo bei ya brabd new Vx V6 anayoongelea bwana huyu
Hakuna luxury car ya seat nane 😳
Tofautisha kati ya luxury and expensive car mark x mpya ipo pia kundi la luxury cars
 
Back
Top Bottom