Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,181
Inaitwa adrenaline thrill!Wacha weee!
Kwahiyo ukajisikia raha?
Inaitwa adrenaline thrill!Wacha weee!
Kwahiyo ukajisikia raha?
Inaitwa adrenaline thrill!
USA & UK wana malengo yao pale Ukraine. Ni kama wameamua kumpa chochote Mjapani nayeye anufaike na huo mgogoro. Kumtuliza Mjapani kiaina.Nilishangaa sana Wkt wa hii Vita ya Ukraine Boris(PM wa UK by then) alinunua landcruiser za kutosha na kuzipeleka Ukraine kusaidia Vita,sijui kwanini hakununua Gari yoyote Ile kutoka Landrover(UK) na kuzipeleka field. 😄😄.
USA nao wakapeleka LC 70 series huko Ukraine sijui kwanini hawakupeleka Ford,GM etc
Umekula mkuu?USA & UK wana malengo yao pale Ukraine. Ni kama wameamua kumpa chochote Mjapani nayeye anufaike na huo mgogoro. Kumtuliza Mjapani kiaina.
Umeelewa comment yangu mkuu?Umekula mkuu?
Umeshiba mkuu?Umeelewa comment yangu mkuu?
Muongezee na RR, Maybach, lamborghini aventador, Ferrari...Kimsingi huyu jamaa hajui Luxury cars...anashindwa kutofautisha kati ya gari la abiria na mizigo na Luxury car...Hakuna Luxury car yenye seat nane....huwezi ona superstar wa music,,,mpira au kitu chochote huko dunian anaendesha brand yoyote ya toyota. Hizo tunaendesha sisi maskini wa Africa. Naipenda hyo gari kutokana tu na kuwa inahimili barabara zetu mbovu ila siwezi irate kama Luxury car...HAPANAAA...Huwezi pata brand new luxury car kwa usd 150,000 popote pale duniani ambayo ndo bei ya brabd new Vx V6 anayoongelea bwana huyuHv nyie Mmezion BMW X7 Audi Q7, Porsche na benzi gl300
Luxury cars za $150,000 ni nyingi sana tu.Muongezee na RR, Maybach, lamborghini aventador, Ferrari...Kimsingi huyu jamaa hajui Luxury cars...anashindwa kutofautisha kati ya gari la abiria na mizigo na Luxury car...Hakuna Luxury car yenye seat nane....huwezi ona superstar wa music,,,mpira au kitu chochote huko dunian anaendesha brand yoyote ya toyota. Hizo tunaendesha sisi maskini wa Africa. Naipenda hyo gari kutokana tu na kuwa inahimili barabara zetu mbovu ila siwezi irate kama Luxury car...HAPANAAA...Huwezi pata brand new luxury car kwa usd 150,000 popote pale duniani ambayo ndo bei ya brabd new Vx V6 anayoongelea bwana huyu
Sawa Trader....Luxury cars za $150,000 ni nyingi sana tu.
Labda unatafsiri nyingine kwa maana ya luxury cars.
Wewe unazungumzia luxury mi nazungumzia SPEED NA Comfortability ya gari kuhimili mazingira yote ya lami na pori kwa pori!Muongezee na RR, Maybach, lamborghini aventador, Ferrari...Kimsingi huyu jamaa hajui Luxury cars...anashindwa kutofautisha kati ya gari la abiria na mizigo na Luxury car...Hakuna Luxury car yenye seat nane....huwezi ona superstar wa music,,,mpira au kitu chochote huko dunian anaendesha brand yoyote ya toyota. Hizo tunaendesha sisi maskini wa Africa. Naipenda hyo gari kutokana tu na kuwa inahimili barabara zetu mbovu ila siwezi irate kama Luxury car...HAPANAAA...Huwezi pata brand new luxury car kwa usd 150,000 popote pale duniani ambayo ndo bei ya brabd new Vx V6 anayoongelea bwana huyu
Kumbe unaongelea magari ya porini??? basi sawa ..na unaanzaje kuipeleka Lamborghini Aventador porini kwa mfanoWewe unazungumzia luxury mi nazungumzia SPEED NA Comfortability ya gari kuhimili mazingira yote ya lami na pori kwa pori!
HIZO GARI ULIZOTAJA UKIPELEKA RAFU ROAD NI KUKU WA KIZUNGU
Ndiyo nakujuza V8 Kashika njia polini na mijini kabamba, ukilinganisha na hizo luxury zingineKumbe unaongelea magari ya porini??? basi sawa ..na unaanzaje kuipeleka Lamborghini Aventador porini kwa mfano
KbsaaIpo kama box
Yani hovyo sana
Kujisifia upumbavu tuMkuu hizi gari zisikie tu.
Zina power mpaka 300HP na turbocharger mbili.
Hivyo zikiovertake power gain ni kali sana.
Ninayo moja LC200 nami naelekea Dom.
Kuna Brevis akaona nakuja akakanyaga.
Hakujua LC200 ukikanyaga turbochargers zote zinafunguka, nilimpita akiwa 180km/r
V8 siyo luxury car mkuu...kama unalinganisha V8 na punda...basi V8 ni luxury carNdiyo nakujuza V8 Kashika njia polini na mijini kabamba, ukilinganisha na hizo luxury zingine
Ni mashineView attachment 2405723View attachment 2405724View attachment 2405725View attachment 2405726View attachment 2405727View attachment 2405728View attachment 2405729View attachment 2405730View attachment 2405731View attachment 2405732View attachment 2405733View attachment 2405734View attachment 2405735View attachment 2405736View attachment 2405737View attachment 2405738View attachment 2405739View attachment 2405740View attachment 2405741View attachment 2405742View attachment 2405743View attachment 2405744View attachment 2405745View attachment 2405746View attachment 2405747View attachment 2405748View attachment 2405749View attachment 2405750View attachment 2405751View attachment 2405752
KWA HOJA YA MLETA UZI..............HYO NDO NDEGE YA CHINI ANAYOTUMIA MADELU KWA HISANI YA KODI ZETU....
Hakuna luxury car ya seat nane 😳Muongezee na RR, Maybach, lamborghini aventador, Ferrari...Kimsingi huyu jamaa hajui Luxury cars...anashindwa kutofautisha kati ya gari la abiria na mizigo na Luxury car...Hakuna Luxury car yenye seat nane....huwezi ona superstar wa music,,,mpira au kitu chochote huko dunian anaendesha brand yoyote ya toyota. Hizo tunaendesha sisi maskini wa Africa. Naipenda hyo gari kutokana tu na kuwa inahimili barabara zetu mbovu ila siwezi irate kama Luxury car...HAPANAAA...Huwezi pata brand new luxury car kwa usd 150,000 popote pale duniani ambayo ndo bei ya brabd new Vx V6 anayoongelea bwana huyu