Nauza gari yangu aina ya land cruiser prado kama inavyoonekana pichani bei ni 17 million haina tatizo lolote na mwenye kutaka kuiona awasiliane nami kwa namba 0767234224
Sio DFP mkuu hizo ni namba za kukodi za Zanzibar,nilikuwa nakodisha watalii mtu niliyemweka asimamie hiyo biashara alikuwa ananiletea mahesabu ya utata nikaona bora niiuze tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.