Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,500
- 9,279
Wanadai wanawake Waislamu hukiuka sheria za dini hiyo wakati wanaabiri bodaboda kwa sababu baadhi ya sehemu za mwili wao ambazo ni siri hubaki wazi.
Viongozi hao walisema shera ya dini hiyo hairuhusu mwanamke kukaribiana na mwanamume ambaye si mume wake.
Wazee na vijana wa Kisomali walikuwa wakiwalazimisha wanawake kushuka kwenye bodaboda na kisha kuwacharaza viboko kama adhabu.
Viongozi hao walihoji kuwa wanawake Waislamu hukiuka sheria za dini hiyo wakati wanaabiri bodaboda kwa sababu baadhi ya sehemu za mwili wao ambazo ni siri hubaki wazi. Pia waliongezea kuwa hugusana na waendeshaji wao jambo ambalo halifahi kabisaa.
Kauli yake ilikaririwa na Diwani wa Bunge la Kaunti ya Lamu, Amani Kale ambaye aliwashauri wanawake wenzake Waislamu kujiepusha kutumia bodaboda hususan kama hawana jambo la dharura.
Chanzo: Tuko
Viongozi hao walisema shera ya dini hiyo hairuhusu mwanamke kukaribiana na mwanamume ambaye si mume wake.
Wazee na vijana wa Kisomali walikuwa wakiwalazimisha wanawake kushuka kwenye bodaboda na kisha kuwacharaza viboko kama adhabu.
Viongozi hao walihoji kuwa wanawake Waislamu hukiuka sheria za dini hiyo wakati wanaabiri bodaboda kwa sababu baadhi ya sehemu za mwili wao ambazo ni siri hubaki wazi. Pia waliongezea kuwa hugusana na waendeshaji wao jambo ambalo halifahi kabisaa.
Kauli yake ilikaririwa na Diwani wa Bunge la Kaunti ya Lamu, Amani Kale ambaye aliwashauri wanawake wenzake Waislamu kujiepusha kutumia bodaboda hususan kama hawana jambo la dharura.
Chanzo: Tuko