Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,098
Hatimaye klabu ya Yanga ambayo haina kocha, imemteua beki kisiki Lamine Moro kuwa Nahodha mpya wa kikosi hiko.
Bakari Mwanyeto pamoja na Mukoko watakuwa manahodha wasaidizi.
Nini maoni yako juu ya uteuzi huu? Nini hatima ya Haruna Fadhili Hakizimana Niyonzima ambaye amevuliwa unahodha klabuni hapo?
Bakari Mwanyeto pamoja na Mukoko watakuwa manahodha wasaidizi.
Nini maoni yako juu ya uteuzi huu? Nini hatima ya Haruna Fadhili Hakizimana Niyonzima ambaye amevuliwa unahodha klabuni hapo?