Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
mzee wa megawatt ni ngeleja, utasikia anavyotaja miradi ya umeme, somanga fungo, mara kiwira mara utasikia mchuchuma mara ubungo lakini hakuna umeme ni porojo tu
umwagiliaji je?
kama maji hayakauki na kuzalisha umeme ni moja ya msamiati usiokuwepo kwenye Dictionary zatu. Naomba kujua kama yanafaa katika kilimo cha mboga mboga