Mzee Uchwara
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 119
- 35
Akichangia bungeni leo mbunge laizer akichangia kwa uchungu, ubadhilifu unaoendela kutokea katika almashauri zetu nchini na wahusika kutofanywa chochote na kuamishwa na kupeleka sehemu nyingine. Je kweli serikari ina nia ya dhati? Nawasilisha.