Elections 2010 Laiti wapinzani wangekuwa serious

mamanalia

JF-Expert Member
Nov 7, 2009
666
146
Laiti wapinzani wangekuwa serious kipindi hiki wangechukua nchi kiulaini, ila vyama vyao vinakasoro za wazi kubwa, mfano, chadema, ukabila. CUF udini.

This was their time ila they need first to solve their internal open problems then ndo waje na mgombea potential. CCM wameprove big weakness this time since Kikwete got into power.

Bt i m so sad i don know who will save our nation. Anyway, we r coming home we will try.
 
straight to hell....you aren't well come home,,.....we don't need clowns like you!..g''''damn
 
Sidhani na unachojaribu kusema!! Nchi ni yangu na yako!! Umaskini ni wangu na wako sio wa wapinzani kama unavyosema!! MAgeuzi ya kifikra lazima uwe nayo kwanza. Khanga, t.shirt, uongaji wa kijinga hata roli la pipi. HAtutaendelea kwa mtindo huu. Usifikiri vidonda vya CCM walivyotengeneza vitapona sasa hivi. namaanisha pesa waliotumia utalipa mimi na wewe. Si kitu cha kushabikia. HILI NI JANGA LINGINE. POLE
 
Tread kama hizi ni za kuzi'close tu. Tunazungumzia matokeo yeye anaturudisha nyuma kabisa.
 
Laiti wapinzani wangekuwa serious kipindi hiki wangechukua nchi kiulaini, ila vyama vyao vinakasoro za wazi kubwa, mfano, chadema, ukabila. CUF udini.

This was their time ila they need first to solve their internal open problems then ndo waje na mgombea potential. CCM wameprove big weakness this time since Kikwete got into power.

Bt i m so sad i don know who will save our nation. Anyway, we r coming home we will try.

wanaccm wanafiki huwa mnaboa sana mnavyopretend kuwa mna nia nzuri na upinzani.
 
Sidhani na unachojaribu kusema!! Nchi ni yangu na yako!! Umaskini ni wangu na wako sio wa wapinzani kama unavyosema!! MAgeuzi ya kifikra lazima uwe nayo kwanza. Khanga, t.shirt, uongaji wa kijinga hata roli la pipi. HAtutaendelea kwa mtindo huu. Usifikiri vidonda vya CCM walivyotengeneza vitapona sasa hivi. namaanisha pesa waliotumia utalipa mimi na wewe. Si kitu cha kushabikia. HILI NI JANGA LINGINE. POLE

Mie najaribu kuwa fair, watu humu ni washabiki sana wa chama kimoja lakini hawaelezi ukweli. Sisemi ccm ni wazuri, hata kidogo simkubali JK. Lakini siwezi tu kukubali chadema au cuf eti sababu ccm ni wabaya, I thank God i m a bit educated i know how to follow events and read news. Always sitaficha whtever bad i c in our political parties.
Tuache ushabiki usiojenga, huu ndo umetufikisha kwenye hali hii mbaya. Wananchi wetu wako too illiterate hawatambui nani wakumpigia kura, ndo maana watu kama kina captain komba leo ni wabunge, nasikia hata kina sugu pia wanaenda bungeni. Tumegeuza bunge kuwa sehemu ya ufahari na pa kutafutia pesa na sio public serving place. We have even lost strong institutionalism in our country bse of this ushabiki.

Hebu mjaribu ku behave as civilized pple hapa JF ili tuwavutie wengi pia wajiunge na JF na sio waone ni jukwaa la washabiki wa chadema tu.

"If U Stand for the truth U will always stand alone" (lucky philip dube).
 
wanaccm wanafiki huwa mnaboa sana mnavyopretend kuwa mna nia nzuri na upinzani.

Kumbe umemgundua huyu dada wa Pemba eeeh? Mnafiki tu. Kama anasema kuna weakness kwenye uongozi wa JK mbona anamsapoti?
 
Mie najaribu kuwa fair, watu humu ni washabiki sana wa chama kimoja lakini hawaelezi ukweli. Sisemi ccm ni wazuri, hata kidogo simkubali JK. Lakini siwezi tu kukubali chadema au cuf eti sababu ccm ni wabaya, I thank God i m a bit educated i know how to follow events and read news. .

Acha unafiki fisadi la kutupwa wewe
 
Sidhani na unachojaribu kusema!! Nchi ni yangu na yako!! Umaskini ni wangu na wako sio wa wapinzani kama unavyosema!! MAgeuzi ya kifikra lazima uwe nayo kwanza. Khanga, t.shirt, uongaji wa kijinga hata roli la pipi. HAtutaendelea kwa mtindo huu. Usifikiri vidonda vya CCM walivyotengeneza vitapona sasa hivi. namaanisha pesa waliotumia utalipa mimi na wewe. Si kitu cha kushabikia. HILI NI JANGA LINGINE. POLE

Mie najaribu kuwa fair, watu humu ni washabiki sana wa chama kimoja lakini hawaelezi ukweli. Sisemi ccm ni wazuri, hata kidogo simkubali JK. Lakini siwezi tu kukubali chadema au cuf eti sababu ccm ni wabaya, I thank God i m a bit educated i know how to follow events and read news. Always sitaficha whtever bad i c in our political parties.
Tuache ushabiki usiojenga, huu ndo umetufikisha kwenye hali hii mbaya. Wananchi wetu wako too illiterate hawatambui nani wakumpigia kura, ndo maana watu kama kina captain komba leo ni wabunge, nasikia hata kina sugu pia wanaenda bungeni. Tumegeuza bunge kuwa sehemu ya ufahari na pa kutafutia pesa na sio public serving place. We have even lost strong institutionalism in our country bse of this ushabiki.

Hebu mjaribu ku behave as civilized pple hapa JF ili tuwavutie wengi pia wajiunge na JF na sio waone ni jukwaa la washabiki wa chadema tu.

"If U Stand for the truth U will always stand alone" (lucky philip dube).
 
Mie najaribu kuwa fair, watu humu ni washabiki sana wa chama kimoja lakini hawaelezi ukweli. Sisemi ccm ni wazuri, hata kidogo simkubali JK. Lakini siwezi tu kukubali chadema au cuf eti sababu ccm ni wabaya, I thank God i m a bit educated i know how to follow events and read news. Always sitaficha whtever bad i c in our political parties.
Tuache ushabiki usiojenga, huu ndo umetufikisha kwenye hali hii mbaya. Wananchi wetu wako too illiterate hawatambui nani wakumpigia kura, ndo maana watu kama kina captain komba leo ni wabunge, nasikia hata kina sugu pia wanaenda bungeni. Tumegeuza bunge kuwa sehemu ya ufahari na pa kutafutia pesa na sio public serving place. We have even lost strong institutionalism in our country bse of this ushabiki.

Hebu mjaribu ku behave as civilized pple hapa JF ili tuwavutie wengi pia wajiunge na JF na sio waone ni jukwaa la washabiki wa chadema tu.

"If U Stand for the truth U will always stand alone" (lucky philip dube).

upuuuzi, hakuna muda wakujadili mawazo yawajinga
 
upuuuzi, hakuna muda wakujadili mawazo yawajinga

Najua wewe unaumia kwa slaa kukosa urais, pole, bt nakushauri chochote unachokifanya kifanye kwa utaifa wa juu ili uweze angalau kusema nilichangia hiki katika nchi yangu, kuliko kukaa na kulalamika kila siku.
 
Mama nalia naomba uelewe kitu kimoja, mafanikio yanayoonyshwa na upinzani ni makubwa katika historia ya Tanzania Bara, haijawahi kutokea. Ninajaribu kutafuta nukuu ya Mwalimu Nyerere sijaipata, pamoja na madhabifu yake mengine, bado alikuwa mtu anaeweka kuwa muwazi na mkweli nadhani hiyo ndiyo tofauti kubwa saaaana kati ya ke na hivi vimeo vinghine, viwe vya upinzani au vya watawala.
Ninachokiona wananchi wanahitaji kuamka zaidi, vyama vya upinzani vinahitaji kukusanya rasilimali nyingi zaidi, ili viweze kufikia majombo mengi hadi vijijini kipindi chote, sio kusubiri uchaguzi, na kuhakikisha wanaimarisha vyama vyao.
MFANO CHADEMA wanapaswa wasilale sasa, waendelee na mikakati hata baada ya uchaguzi, kuinua kipato cha chama, kuongeza wanachama maana wengi waliokipigia CHADEMA si wanachama ndio maajabu yake, na kuimarisha mipango na mikakati ya chama tayari kwa 2015
 
Ndibalema, namuona anapoint, ila anatatizo moja, expectations zake ziko juu kupita maelezo, so kwa kiasi fulani anaboa na sio mtu wa kumuamini kama wewe ndio mgombea na yeye ndiye supporter wako.... I mean kwa kuwa na hisia badala ya fact kama anvyoonekana
 
Ndibalema, namuona anapoint, ila anatatizo moja, expectations zake ziko juu kupita maelezo, so kwa kiasi fulani anaboa na sio mtu wa kumuamini kama wewe ndio mgombea na yeye ndiye supporter wako.... I mean kwa kuwa na hisia badala ya fact kama anvyoonekana

crap o malt
 
Back
Top Bottom