EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
sina maana kama wameshndwa kutawala na hata kama baadhi ya watu wataamini ivyo lakini sitaki kuamini moja kwa moja hata wao imani yao ipo hivyo kwamba wameshndwa japo kuwa tangu enzi za tanganyika matatizo yamekuwa yale yale kama umasikini, maradhi,ujinga na ubadhilifu wa mali ya umma.
Ccm ni chama kikonge sana hapa nchini pia ndicho chama tawala mpaka leo hii nchi yetu imetimiza miaka 50 ya uhuru.
Kwakuwa ikulu si mahala pa biashara na malengo ya vyama vyote vya siasa hapa nchini ni kushika dola na kuleta maendeleo kwa wananchi ningependa kuwashauli ndg zangu wa ccm wasimsimamishe mtu ktk kiti cha uraisi ktk kinyang'anyiro cha uraisi mwaka 2015 badala yake wajikite ktk chaguz za ubunge tu.
Lengo ni kuvipa nafasi vyama vya upinzani navyo viweze kuunda serikali kuu na kuitawala hii nchi.
Faida za kufanya hivyo ni pamoja na zifuatazo:-
1. Ccm ikiwa kama chama kikongwe ktk bara la africa kitajitunzia heshima yake kikiwa ni moja kati ya vyama vikongwe ambavyo havijawai kudondoshwa ktk uchaguzi. Hapa sina maana kwamba 2015 ccm itadondoka wala sipo kishabiki bali ni ukweli usiofichika kuwa idadi kubwa ya watu wamepoteza imani na ccm ikiwa ndio chama tawala kinachoongoza serikali na kuamini ndicho chama kilichosababisha ugumu huu wa maisha uliopo.
2.kuleta ushindani halisi ktk siasa kwa kuwapa watu uwezo mzuri wa kufanya utambuz ni serikali ipi ilikuwa lege lege. Haiwezekani ccm imekuwa madarakani miaka 50 halafu ushndani ifanye na vyama ambavya havijawahi kukaa madarakani hata mwaka mmoja.
3. Ccm kitapata mda mzuri wa kujipanga, kujikosoa na kuondoa makundi ndani ya chama.
4. Kitaweza pia kujisafisha kwa wananchi kwani kitapopata nafasi ya kuwa kambi rasmi ya upinzani mjengoni ni wazi nao watapata fursa kubwa ya kuikosoa serikali na umma utatambua nini wafanyacho.
5. Itakuwa ni muda mzuri kwao kuzuia machafuko ambayo yamekuwa yakichipua chini kwa chini dhini ya wimbi kubwa la watu maskini ambao wamechoshwa na serikali yao.
6. Pia kitapata muda mzuri wa kutambua na KUTAFUTA MAJAWABU YA MATATIZO YA WANANCHI.
7. Pia itafanya umma utambue mapungufu ya wapinzani yapi wawapo madarakani. Hii itasaidia kutambua mwendokasi wa wapinzani ktk utendaji kazi.
Kwa kuwa UJENZI NI WA NYUMBA MOJA SIAMINI KAMA KUNA UMUHIMU WA KUGOMBEA FITO.
Siamini kwa miaka 50 kama bado watakuwa na uchu wa madaraka kiasi cha kunipinga kabisa.
Nawasilisha.
Ccm ni chama kikonge sana hapa nchini pia ndicho chama tawala mpaka leo hii nchi yetu imetimiza miaka 50 ya uhuru.
Kwakuwa ikulu si mahala pa biashara na malengo ya vyama vyote vya siasa hapa nchini ni kushika dola na kuleta maendeleo kwa wananchi ningependa kuwashauli ndg zangu wa ccm wasimsimamishe mtu ktk kiti cha uraisi ktk kinyang'anyiro cha uraisi mwaka 2015 badala yake wajikite ktk chaguz za ubunge tu.
Lengo ni kuvipa nafasi vyama vya upinzani navyo viweze kuunda serikali kuu na kuitawala hii nchi.
Faida za kufanya hivyo ni pamoja na zifuatazo:-
1. Ccm ikiwa kama chama kikongwe ktk bara la africa kitajitunzia heshima yake kikiwa ni moja kati ya vyama vikongwe ambavyo havijawai kudondoshwa ktk uchaguzi. Hapa sina maana kwamba 2015 ccm itadondoka wala sipo kishabiki bali ni ukweli usiofichika kuwa idadi kubwa ya watu wamepoteza imani na ccm ikiwa ndio chama tawala kinachoongoza serikali na kuamini ndicho chama kilichosababisha ugumu huu wa maisha uliopo.
2.kuleta ushindani halisi ktk siasa kwa kuwapa watu uwezo mzuri wa kufanya utambuz ni serikali ipi ilikuwa lege lege. Haiwezekani ccm imekuwa madarakani miaka 50 halafu ushndani ifanye na vyama ambavya havijawahi kukaa madarakani hata mwaka mmoja.
3. Ccm kitapata mda mzuri wa kujipanga, kujikosoa na kuondoa makundi ndani ya chama.
4. Kitaweza pia kujisafisha kwa wananchi kwani kitapopata nafasi ya kuwa kambi rasmi ya upinzani mjengoni ni wazi nao watapata fursa kubwa ya kuikosoa serikali na umma utatambua nini wafanyacho.
5. Itakuwa ni muda mzuri kwao kuzuia machafuko ambayo yamekuwa yakichipua chini kwa chini dhini ya wimbi kubwa la watu maskini ambao wamechoshwa na serikali yao.
6. Pia kitapata muda mzuri wa kutambua na KUTAFUTA MAJAWABU YA MATATIZO YA WANANCHI.
7. Pia itafanya umma utambue mapungufu ya wapinzani yapi wawapo madarakani. Hii itasaidia kutambua mwendokasi wa wapinzani ktk utendaji kazi.
Kwa kuwa UJENZI NI WA NYUMBA MOJA SIAMINI KAMA KUNA UMUHIMU WA KUGOMBEA FITO.
Siamini kwa miaka 50 kama bado watakuwa na uchu wa madaraka kiasi cha kunipinga kabisa.
Nawasilisha.