caridas
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 229
- 285
Nadhani serkali haijaamua kuwekeza katika elimu ipasavyo, wanapromote masomo ya sayansi na hesabu lakini ikifika level ya chuo wanawatelekeza ama kuweka vigezo vigumu na kudai nafasi ni chache, wanafunz wengi wapo mtaani wamekosa udahili hasa kwa kada za afya huku wakiwa na ufaulu mzuri, hatuna malengo madhubuti juu ya elimu yetu, kurekebisha mitaala ili iendane na changamoto zilizopo ni jambo linalopaswa kupewa kipaumbele