Laiti nchi angekabidhiwa prof Lipumba (must read)

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,904
4,050
Ukisoma na kusikiliza bajeti iliopita inadhihirisha wananchi bado tutaendelea kutaabika
1. Serikali bado kimya juu ya misamaha ya kodi kwa makampuni ya madini
2. Bado serikali kimya juu ya faida ya dhahabu kwa makampuni ambayo imepanda sana wakati wao wanalipa kodi kwa bei ya zamani ambapo dhahabu ilikua chini
3. Haijaeleza ni vp itawakomboa vijana ambao ni wengi na hawana ajira
4. Kupunguza asilmia moja kwenye kodi ya mishahara ni kama dhihaka kwa wafanyakazi
5. Kuongeza kodi kwenye petrol na diesel ni kuongeza ukali wa maisha kwa mwananchi maskini
6. Kuongeza kodi kwenye mpesa ambayo ni mkombozi kwa wananchi wa vijijini ambao hawatumii miamala ya benki ni kuwakomoa wananchi
Ndugu wananchi lau tungemkabidhi nchi hii MCHUMI WA KIMATAIFA tungekula neema za nchi MY TAKE: UKIIPIGIA CCM KURA USILALAMIKE KUHUSU UGUMU WA MAISHA, JITAMBUE ANZA MABADILIKO PALE POPOTE ULIPO KWA KUWANYIMA CCM UDIWANI, UBUNGE NA BAADAE KUITOA MADARAKANI 2015.
 
Tusifanye makosa tena 2015 tumpe mtaalamu wa uchumi hii mtafurahia utajiri wa tanzania
 
Ukisoma na kusikiliza bajeti iliopita inadhihirisha wananchi bado tutaendelea kutaabika
1. Serikali bado kimya juu ya misamaha ya kodi kwa makampuni ya madini
2. Bado serikali kimya juu ya faida ya dhahabu kwa makampuni ambayo imepanda sana wakati wao wanalipa kodi kwa bei ya zamani ambapo dhahabu ilikua chini
3. Haijaeleza ni vp itawakomboa vijana ambao ni wengi na hawana ajira
4. Kupunguza asilmia moja kwenye kodi ya mishahara ni kama dhihaka kwa wafanyakazi
5. Kuongeza kodi kwenye petrol na diesel ni kuongeza ukali wa maisha kwa mwananchi maskini
6. Kuongeza kodi kwenye mpesa ambayo ni mkombozi kwa wananchi wa vijijini ambao hawatumii miamala ya benki ni kuwakomoa wananchi
Ndugu wananchi lau tungemkabidhi nchi hii MCHUMI WA KIMATAIFA tungekula neema za nchi MY TAKE: UKIIPIGIA CCM KURA USILALAMIKE KUHUSU UGUMU WA MAISHA, JITAMBUE ANZA MABADILIKO PALE POPOTE ULIPO KWA KUWANYIMA CCM UDIWANI, UBUNGE NA BAADAE KUITOA MADARAKANI 2015.

tatizo Lipumba naye si ndo anandoa na CCM na mkataba wao upo!?
 
Mmmh! Huyo Prof. tena. Mimi nafikiri huyo yuko kimataifa zaidi. Labda tumpe nchi Mchumi Daraja la Kwanza, Bw. Lameck a.k.a. Mwigulu, halafu muone! Teh teh teh.
 
mmmh! Huyo prof. Tena. Mimi nafikiri huyo yuko kimataifa zaidi. Labda tumpe nchi mchumi daraja la kwanza, bw. Lameck a.k.a. Mwigulu, halafu muone! Teh teh teh.
acha ushabiki bajeti inakuadhir ht ww
 
mkuu, inaelekea we uko nje ya nchi, lipumb mwenyewe alimsaidia kikwete kuingia madarakani, huyo mchumi unayemsifia aliona kikwete anaweza zaidi yake, nadhani hata kikwete naye ni mchumi vile? Majaribio haya tena kwasasa tumekoma, hatudanganyiki!
kwa iyo unataka CCM waendelee kukutawala poor thinking
 
acha ushabiki bajeti inakuadhir ht ww

Inaelekea hujanisoma. Sishabikii kwamba bajeti hainiathiri mimi. Lakini nilitaka ujue tu kuwa Prof. Lipumba alikiri kumsaidia mchumi mwenzie JK ili aongoze nchi, pengine baada ya kuona mwenzake anaweza kuliko yeye. Na pia usifikiri kuwa mchumi ndio uwezo pekee wa kuongoza nchi. Lakini kwakuwa unawapenda wachumi ndio nikakukumbusha kuwa kuna Mchumi Daraja la Kwanza pale, je unafikiri ataweza kuiongoza nchi? Binafsi najua nitachangia sana na bajeti ijayo kwakuwa nimekabwa kila kona.
 
Hivi mkuu si ndio huyuhuyu pr lipumba aliye wapigia debe ccm mwaka 2010 miskitini na kuwapa ilani ya cuf siku ya kuapishwa rais?jipya gani alilonalo nje na hayo?
 
inaelekea hujanisoma. Sishabikii kwamba bajeti hainiathiri mimi. Lakini nilitaka ujue tu kuwa prof. Lipumba alikiri kumsaidia mchumi mwenzie jk ili aongoze nchi, pengine baada ya kuona mwenzake anaweza kuliko yeye. Na pia usifikiri kuwa mchumi ndio uwezo pekee wa kuongoza nchi. Lakini kwakuwa unawapenda wachumi ndio nikakukumbusha kuwa kuna mchumi daraja la kwanza pale, je unafikiri ataweza kuiongoza nchi? Binafsi najua nitachangia sana na bajeti ijayo kwakuwa nimekabwa kila kona.
huna ushahidi unaongozwa na hisia
 
Hata kikwete nae ni Mchumi kwa hiyo Uchumi wa Lipumba sio Hoja maana ndie alikuwa Mshauri Enzi za Mwinyi na hakuna lolote la maana alilotufanyia.Lipumba kwangu ni Mtu ambaye ataingiza Nchi yetu katika Vita vya Kidini hivyo ni wa kuepuka kama UKOMA.
 
hata kikwete nae ni mchumi kwa hiyo uchumi wa lipumba sio hoja maana ndie alikuwa mshauri enzi za mwinyi na hakuna lolote la maana alilotufanyia.lipumba kwangu ni mtu ambaye ataingiza nchi yetu katika vita vya kidini hivyo ni wa kuepuka kama ukoma.
kikwete ni mwanjeshi mstaafu uchumi kasomea wapi au shule za kata walivyowafundisha
 
Back
Top Bottom