douter of chif
Member
- Dec 15, 2014
- 29
- 19
Laiti kama mioyo ya binadamu Na mawazo yao yangelikuwa kama wazi kama USO tungelifanikiwa sana maishani.Nimeandika Uzi huu kutokana Na mambo yaliyonikuta katika maisha yangu...especially katika swala zima la mahusiano...kwa kweli nimechoka Na mahusiano sasa better to be miss alone now...