Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,032
kila kitu kibaya kitendekacho humu Duniani, hukumu yake ni hapa hapa, hizo habari za mwisho wa dunia na adhabu huko mbinguni ni mambo ya kutiana hofu, na ni yakufikirika na kuwafunga watu pamoja na kuwatala akili zao.. but kiharisia hakuna vitu kama ivyo