Wanaume wa Hai akili zao wanazijua wenyewe.Kumbe Hai vipo vijike tu!
Walikutana na mtu ambae yuko kwenye game kitambo Brother Zakaria heshima nyingi kwake tafadhali!Last time I checked, wasiojulikana walipigwa risasi tarime. Mpaka sasa hii rekodi haijavunjwa, walikutana na kichwa ngumu!
Umenikumbusha Rai ya miaka ya 90 mpaka 2005.Nikiwa form 6 nilikuwa nasoma Gazette la rai. Rai ile ngumu ya kina salva
Nilikutana na makala iloandikwa na majid mjingwa kuhusu huyu mtu.
Nalishukuru gazet la rai
Kwa hiyo wamekuwa wachumba ?Tarime siku hizi kama wanaume wa dar tu wenyewe ubabe wao upo kwenye visasi vya dhulma ukabila kuchukuliana ardhi n.k
Ila kwa maafisa wa serikali huwa wanaufyata.
Hivi ni chombo gani cha Dola kingekusikiliza wakati ule?Unahimiza watu wajichukulie sheria mkononi badala ya kuripoti kwa vyombo husika, you are mentally exhausted, take a rest.
Said Abdallah MwamwindiHuwa nafuatilia tuhuma zote alizotuhumiwa Sabaya nabaki kujiuliza
What if kingetokea kidume kama Mohamed Mwamwindi kule Hai ..kingebadili historia yote ya Hai na kila kiongozi akipelekwa Hai anakuwa na adabu kabisa...
Wewe jambazi akija kwako utamuangalia tu?Unahimiza watu wajichukulie sheria mkononi badala ya kuripoti kwa vyombo husika, you are mentally exhausted, take a rest.
Wewe acha mkuu lile gazeti lileUmenikumbusha Rai ya miaka ya 90 mpaka 2005.
Rai ya Jenerali,
Kitakwete Kitabaganda...
Nje kidogo. Nilikuwa nasoma kitabu Homo deus. Humo ametajwa Nyerere na sera yake ya mashamba ya ujamaa. Anasema kuwa kabla ya hiyo sera Tanzania ndiyo ilikuwa muuzaji mkubwa wa chakula katika Africa. Baada ya hiyo sera kuanza nchi ikaingiwa na njaa hadi kuwa muagiza chakula. Sera mbovu kabisa, hata China ilifeli vibaya na kuua mamilioni.
Walimfanya nini?Basi wahehe wakisoma huu uzi vichwa vinavimba balaa...
Ila tuseme ukweli wahehe wanajielewa. Wakisema no, ni noo kweli.
Dr. Hassy Raphael Kitine msomi, waziri wa zamani, DG TISS wa zamani anawaelewa vizuri sana walichomfanya 1995. Hajarudi tena!
Dai M ni nani?Labda jamii imeelemika sana sasa....Daid M alikuwa jabali hakutaka ujinga wala dharau hao wachaha Hai vipi dogo amewapandia vichwani hivyo hadi wake zenu amewala ni dharau