Laana ni ninilaana tunda la mti wa kati ni K sio kitu kingine so walivyo anza kuzini tu ndo .....?
(kuzini) kwa maoni yangu sio neno zuri kulitumia kwa hawa watu. Tujifunze kuwasilisha maoni yetu kwa upana wa taaluma juu ya mada husika. Unaweza kuangalia kwenye Bible au Quran zinasemaje kuhusiana na icho nilichoweka kwenye mabano.laana tunda la mti wa kati ni K sio kitu kingine so walivyo anza kuzini tu ndo .....?
si amini laana so sijui hata ni niniLaana ni nini
Hahaha ok mkuu usijiumize kichwa lakini.si amini laana so sijui hata ni nini