mfate42
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 3,768
- 4,259
Wajumbe habari za jioni,.nimekuja kuomba msaada kwa wajuvi..tatizo lilizanza juzi laini yangu ya tigo ilizima ghafla,.ikawa haisomi kwenye simu..nikajua tatizo Ni simu ila nlipoiweka kwenye simu nyingine,.ikawa haisomi pia.
Sasa Leo pia laini yangu ya voda na yenyewe imezima Kama mshumaa,.ghafla haisomi kwenye simu yangu na Mpesa nlikuwa na kiasi kidogo Cha fedha..tatizo litakuwa Nini?
Laini zangu zote mbili zimezima Kama mshumaa..na sijui chanzo Ni Nini,.au kampuni za simu wameamua kunifanyia rafu kwenye hili..??
Sasa Leo pia laini yangu ya voda na yenyewe imezima Kama mshumaa,.ghafla haisomi kwenye simu yangu na Mpesa nlikuwa na kiasi kidogo Cha fedha..tatizo litakuwa Nini?
Laini zangu zote mbili zimezima Kama mshumaa..na sijui chanzo Ni Nini,.au kampuni za simu wameamua kunifanyia rafu kwenye hili..??