Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,754
Soma uelewe nilichoandika mbona unawahi kufika kileleni.Usingeweza kusajili namba ya mtu labda hiyo line uwe nayo hapohapo wakati unasajili maana kuna code zitatumwa kwenye namba husika ndipo iruhusu zoezi la usajili kuendelea na kukamilika
Sent from my SM-J700H using Tapatalk