Laini yangu ya Tigo baada ya kuisajili kwa biometric imekuwa na maajabu!

Kuna usajili wa kijinga ulikuwa unafanyika nami niliona ni tatizo ambalo halikushtukiwa.

Wanasema ukisajili line na kitambulisho cha Taifa basi majina hubadilika na hata kama ulitumia majina tofauti. Hilo sawa halina ubishi.

Ujinga niliuona hapa.

Nilipoenda kusajili line yangu nikakutana na kampuni ya mawasiliano X inafanya zoezi la usajili kupitia alama za vidole. Nikaombwa namba na nikajisajili hali ikawa poa. Ujinga ni kuwa waliniomba namba bila kuthibitisha kweli ile namba niliyowapa ndiyo iko kwenye simu yangu yaani ningeweza kutaja namba ya mtu na ikasajiliwa kwa detail zangu pasipo na shaka yoyote.

Nilipoenda kusajili mtandao XX kabla ya usajili wakala akaniuliza hiyo line yako iko hewani nikasema naam! Akabonyeza kile kimashine chake na zikaja code kama sikosei ni OTP na akaomba nimtajie zile namba ndipo akaanza usajili na ikafanikiwa. Kidogo hawa XX walikuwa na umakini wa usajili kuliko X ambao unaenda unataja namba bila kuhakiki kama ambavyo XX walifanya kwa kutaka nithibitishe kwa code ambazo zimetumwa kwenye namba yangu.

Je imetokea nimekosea kutaja namba yangu ina maana naweza kujikuta nasajili namba ya mtu mwingine bila kujua.

Nipo tayari kukosolewa kama niko kushoto.
 
Umeandika ki2 muhimu sana.
- It is not unlikely mmoja kati ya watu 100 kukosea kutaja namba.
- It is not unlikely wakala kukosea kuandika namba ya mtu mmoja kati ya watu 100.
- Inamaanisha it is not unlikely kwa watu wa2 kati ya 100 kusajili namba za watu wengine.

Mtandao X wanahitaji umakini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi pia msaada hatuna siku utakapopata muda fika huko tigoshop
 
Unapotaja namba unayotaka kusajili lazima kuna namna ya ku verify kwamba namba inayosajiliwa ni ya wewe uliyepo pale. Zaid ya hapo kulikuwa na uhuni tu.
 
Kuna usajili wa kijinga ulikuwa unafanyika nami niliona ni tatizo ambalo halikushtukiwa.

Wanasema ukisajili line na kitambulisho cha Taifa basi majina hubadilika na hata kama ulitumia majina tofauti. Hilo sawa halina ubishi.

Ujinga niliuona hapa.

Nilipoenda kusajili line yangu nikakutana na kampuni ya mawasiliano X inafanya zoezi la usajili kupitia alama za vidole. Nikaombwa namba na nikajisajili hali ikawa poa. Ujinga ni kuwa waliniomba namba bila kuthibitisha kweli ile namba niliyowapa ndiyo iko kwenye simu yangu yaani ningeweza kutaja namba ya mtu na ikasajiliwa kwa detail zangu pasipo na shaka yoyote.

Nilipoenda kusajili mtandao XX kabla ya usajili wakala akaniuliza hiyo line yako iko hewani nikasema naam! Akabonyeza kile kimashine chake na zikaja code kama sikosei ni OTP na akaomba nimtajie zile namba ndipo akaanza usajili na ikafanikiwa. Kidogo hawa XX walikuwa na umakini wa usajili kuliko X ambao unaenda unataja namba bila kuhakiki kama ambavyo XX walifanya kwa kutaka nithibitishe kwa code ambazo zimetumwa kwenye namba yangu.

Je imetokea nimekosea kutaja namba yangu ina maana naweza kujikuta nasajili namba ya mtu mwingine bila kujua.

Nipo tayari kukosolewa kama niko kushoto.
Usingeweza kusajili namba ya mtu labda hiyo line uwe nayo hapohapo wakati unasajili maana kuna code zitatumwa kwenye namba husika ndipo iruhusu zoezi la usajili kuendelea na kukamilika

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Yamekuwepo mapungufu mengi kwenye swala kusajili kwa alama za vidole hats sheria nazo za masaliano haziko vizuri sana zimemkandamiza sana mtumiaji kuliko mtoa huduma za mtandao unaweza shangaa tu mtoa huduma yako voda,TIGO,TTCL atafunga huduma zako za kipesa bila sababu za msingi turudi TCRA kiwapata kwenye sim.zao hata mtandao.ya kijamii ni shuhuri tukalamike wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna usajili wa kijinga ulikuwa unafanyika nami niliona ni tatizo ambalo halikushtukiwa.

Wanasema ukisajili line na kitambulisho cha Taifa basi majina hubadilika na hata kama ulitumia majina tofauti. Hilo sawa halina ubishi.

Ujinga niliuona hapa.

Nilipoenda kusajili line yangu nikakutana na kampuni ya mawasiliano X inafanya zoezi la usajili kupitia alama za vidole. Nikaombwa namba na nikajisajili hali ikawa poa. Ujinga ni kuwa waliniomba namba bila kuthibitisha kweli ile namba niliyowapa ndiyo iko kwenye simu yangu yaani ningeweza kutaja namba ya mtu na ikasajiliwa kwa detail zangu pasipo na shaka yoyote.

Nilipoenda kusajili mtandao XX kabla ya usajili wakala akaniuliza hiyo line yako iko hewani nikasema naam! Akabonyeza kile kimashine chake na zikaja code kama sikosei ni OTP na akaomba nimtajie zile namba ndipo akaanza usajili na ikafanikiwa. Kidogo hawa XX walikuwa na umakini wa usajili kuliko X ambao unaenda unataja namba bila kuhakiki kama ambavyo XX walifanya kwa kutaka nithibitishe kwa code ambazo zimetumwa kwenye namba yangu.

Je imetokea nimekosea kutaja namba yangu ina maana naweza kujikuta nasajili namba ya mtu mwingine bila kujua.

Nipo tayari kukosolewa kama niko kushoto.
Tatizo wabongo mmezoeya kuzungushwa sana bila sababu, ndio maana mkirahisishiwa mambo mnaona kama maajabu, iko hivi yaani namba yako isipoendana jina na kitambulisho cha nida automatically system inaukataa usajili so hata ukikosea namba moja usajili hauwezi kukamilika mana majina yatachengana
 
Tatizo wabongo mmezoeya kuzungushwa sana bila sababu, ndio maana mkirahisishiwa mambo mnaona kama maajabu, iko hivi yaani namba yako isipoendana jina na kitambulisho cha nida automatically system inaukataa usajili so hata ukikosea namba moja usajili hauwezi kukamilika mana majina yatachengana
Hujui kitu oga ulale.
 
Back
Top Bottom