Laini kutokusoma kwenye simu

mamylove

JF-Expert Member
Apr 5, 2014
1,052
1,702
Simu Samsung a30 nikiweka line yoyote nikajaribu kupiga inaniletea msg not registered on network lakini line hiyohiyo inasoma vizuri nikiweka kwenye simu nyingine. Msaada kwa anayejua tatizo ni nini
Screenshot_2019-09-10-16-52-02.jpeg
 
Simu Samsung a30 nikiweka line yoyote nikajaribu kupiga inaniletea msg not registered on network lakini line hiyohiyo inasoma vizuri nikiweka kwenye simu nyingine. Msaada kwa anayejua tatizo ni niniView attachment 1203708
Samsung, naamini IMEI number itakuwa imecorrupt, piga *#06# tazama IMEI number inayotokea kama ni sahihi.

Simu yako ina warranty?
 
na kama IMEI ziko screwed up andaa 65,000/= ya fundi ( sijui kama ishapanda au lah)
65 sio rahisi, mimi s5 kkoo walitakaga 70. Sema ilikuwa miakamiwili iliyopita na ni wengi wanaogopa kubadili IMEI mpaka upate note kutoka kwa TCRA, mimi nilisaidiwa na Mkuu flani hapa JF, alinunua certifile, alinitoza 35,000 kama sikosei.
 
Samsung, naamini IMEI number itakuwa imecorrupt, piga *#06# tazama IMEI number inayotokea kama ni sahihi.

Simu yako ina warranty?
Naona imei 2 ya kwanza ipo sawa ila ya Pili sina uhakika kwasababu kwenye risiti inaonyesha imei moja
 
Kwa simu za samsung, kucorrupt IMEI ni jambo la kawaida mno, binafsi ninaamini kabisa IMEI imecorrupt, nenda kkoo wana duka la samsung, fundi wao atakuja pale atashughulikia simu yako.

Usijaribu kuipitisha kwa watu wengine sababu simu bado ina warranty, wakiona kuna dalili za kupita sehemu nyingine wanaweza wakagoma kabisa.
 
Kwa simu za samsung, kucorrupt IMEI ni jambo la kawaida mno, binafsi ninaamini kabisa IMEI imecorrupt, nenda kkoo wana duka la samsung, fundi wao atakuja pale atashughulikia simu yako.

Usijaribu kuipitisha kwa watu wengine sababu simu bado ina warranty, wakiona kuna dalili za kupita sehemu nyingine wanaweza wakagoma kabisa.
Ok Nashukuru nitafanya hivyo nami nilisita kuipeleka kwa fundi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom