habari wadau..
nazani wote tunaona kishindo alichokuja nacho dogo diamond plutnumz toka wimbo wa mbagala ulivyomtoa... hajarudi nyuma tena ni hit by hit mpaka kushika tanzania nzima na baadae akaanza tawala east africa na then africa nzima wakamjua balaa lake...
nawaza tu wasanii wakubwa waliotawala mziki wetu miaka ya nyuma kina lady jaydee, proff jay, juma nature, inspekta haroon, wao walikosea wapi...
mbona hawakusumbua hata kenya na uganda watukubali mziki wetu...
je diamond ni ana skills kubwa za mziki zaidi yao au ni ana bahati ya mafanikio..
nasikia remix ya namba one ile na davido... diamond alimshawishi davido akubali kwa kumlipa usd 5000... je kina juma nature enzi zao za peak wangekubali kumlipa msanii wa nje hata milioni moja tu ya madafu ili akubali kushirikishwa??
nazani wote tunaona kishindo alichokuja nacho dogo diamond plutnumz toka wimbo wa mbagala ulivyomtoa... hajarudi nyuma tena ni hit by hit mpaka kushika tanzania nzima na baadae akaanza tawala east africa na then africa nzima wakamjua balaa lake...
nawaza tu wasanii wakubwa waliotawala mziki wetu miaka ya nyuma kina lady jaydee, proff jay, juma nature, inspekta haroon, wao walikosea wapi...
mbona hawakusumbua hata kenya na uganda watukubali mziki wetu...
je diamond ni ana skills kubwa za mziki zaidi yao au ni ana bahati ya mafanikio..
nasikia remix ya namba one ile na davido... diamond alimshawishi davido akubali kwa kumlipa usd 5000... je kina juma nature enzi zao za peak wangekubali kumlipa msanii wa nje hata milioni moja tu ya madafu ili akubali kushirikishwa??