Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Lady Jaydee amesema Ruge amezungumza sahihi kutokana na nafasi aliyonayo na pia kudai kuwa kuna watu alifanya nao kolabo ila wamefuta chorus kwenye nyimbo zao baada ya mgogoro kutokea.
Pia amedai hawajawahi kuongea kwa miaka 4 kutoana na ugomvi wao.
Pia amedai hawajawahi kuongea kwa miaka 4 kutoana na ugomvi wao.