Mkuu nina wasiwasi na umri wako,,unawezaje kumvua nguo komando kiasi hicho?unamaanisha unataka kumfananisha na hawa wanuka maziwa akina vanessa mdee makinda...kwa taarifa yako tu ni kwamba hajawahi kutokea mwanamziki wa kike kama Jide..Sijawahi kuamini kama jide ni msanii mwenye kipaji hilo akili yangu ilishakataa kabisa, nachoamini jide aliingia kwenye mziki mapema kabla ya wengine na kujenga Jina, Ila sijawahi kuamini kama ni msanii mwenye kipaji
We hebu FUTA KAULI YAKO,labda kama unasema SAIDA KALORI HUJAWAHI KUMSIKIA WALA KUMUONA.Mkuu nina wasiwasi na umri wako,,unawezaje kumvua nguo komando kiasi hicho?unamaanisha unataka kumfananisha na hawa wanuka maziwa akina vanessa mdee makinda...kwa taarifa yako tu ni kwamba hajawahi kutokea mwanamziki wa kike kama Jide..
Hisia zako za muziki zime paralyzeSijawahi kuamini kama jide ni msanii mwenye kipaji hilo akili yangu ilishakataa kabisa, nachoamini jide aliingia kwenye mziki mapema kabla ya wengine na kujenga Jina, Ila sijawahi kuamini kama ni msanii mwenye kipaji
Sawa nimefuta,,nilisahau kuhusu saida,,ni hao tu.We hebu FUTA KAULI YAKO,labda kama unasema SAIDA KALORI HUJAWAHI KUMSIKIA WALA KUMUONA.
JD ndo alikatazaHivi Ruge ndiye aliyeanza kusema sipigi nyimbo za Jd au JD ndiye aliyeanza kusema nyimbo zake zisipigwe na Mawingu?
Nikiwa kama jaji Ruge hana hatia katika hili vinginevyo ni chuki.JD ndo alikataza
Ndio ujiulize kwa nn ray c mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni kafunikwa na lady jaydee, jide ni baaaSijawahi kuamini kama jide ni msanii mwenye kipaji hilo akili yangu ilishakataa kabisa, nachoamini jide aliingia kwenye mziki mapema kabla ya wengine na kujenga Jina, Ila sijawahi kuamini kama ni msanii mwenye kipaji
Achana nae chizi hyo, mzik kaujua 2013 ataongea nn sasaMkuu nina wasiwasi na umri wako,,unawezaje kumvua nguo komando kiasi hicho?unamaanisha unataka kumfananisha na hawa wanuka maziwa akina vanessa mdee makinda...kwa taarifa yako tu ni kwamba hajawahi kutokea mwanamziki wa kike kama Jide..
sawa meneja wa mawinguJide afute adharani kwanza ule waraka wake ulikua umejaa chuki na kashfa.. ndo labda afikiriwe na Clouds.
Kafundishwa na kimbaombao wake zamaradRuge ana mipasho