Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
my dear jana was around, ilikuwa ni balaa.
mbaya zaid anasema eti hapatani na wanamuziki wenzie lkn huwez kuamini wanamuzik wenzie walikuwepo tna kwa fujo zote.
myself huwa najiambiaga hivi hakuna kitu kibaya kama kumchafua mtu, halafu ukawaunamuombea mabaya mwisho wa siku utashuhudia ushindi wa hasimu wako. maisha sio vita useme nibebe silaha gani maisha ni akili hasa ya kujituma basi. jide anajituma sana na yuko innivative mbaya mno. nilifurah sana jana manake shoo ilibamba ile mbaya.
Ole wako ningekuona!!