chardams
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 2,439
- 1,734
Kuna jambo linanikera sana humu ofisini humu, hivyo kila wakati najikuta najiuliza hivi ni mahala pake au ni ignorance.
Hivi ni mahala gani ambapo wa akina dada wanatakiwa kutunza pedi a.k.a always wakiwa ofisini?
Kuna wadada humu ndani wanakuja na pedi, alafu wanaweka katika droo za ofisi droo amabozo zinatumiwa na watu wote. Ukifungua tu droo unakutana na pedi.
Hichi kitendo mi huwa kinanikera sana. Hivyo basi naomba mnisaidie
1. kama ni haki yao kuweka pedi zao kwenye droo za public.
2. Sehemu maalum za kuhifadhi hivyo vijitu
Hivi ni mahala gani ambapo wa akina dada wanatakiwa kutunza pedi a.k.a always wakiwa ofisini?
Kuna wadada humu ndani wanakuja na pedi, alafu wanaweka katika droo za ofisi droo amabozo zinatumiwa na watu wote. Ukifungua tu droo unakutana na pedi.
Hichi kitendo mi huwa kinanikera sana. Hivyo basi naomba mnisaidie
1. kama ni haki yao kuweka pedi zao kwenye droo za public.
2. Sehemu maalum za kuhifadhi hivyo vijitu