Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,454
- 64,854
Hili jambo nilikuwa najadili na cousin yangu akaniambia “Mama kuna baridi la uzeeni ujue “
Tokea hapo akili ikakaa sawa.
Mambo ya uke wenza ni ubinafsi tu wa wanaume, kwanini haikubaliki mwanamke kuwa na wanaume wawili kama hivyo na wakaheshimiana?
Tokea hapo akili ikakaa sawa.
Mambo ya uke wenza ni ubinafsi tu wa wanaume, kwanini haikubaliki mwanamke kuwa na wanaume wawili kama hivyo na wakaheshimiana?