FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
inawezekana
Upendo ndio determinant kubwa.Sasa tukiacha upendo, kinachofuata ni tabia yake ya jumla na anavyonitreat na mwisho ni financial stability yake/yenu maana population kama hiyo na say watoto 2 mtakaoongeza ili wapate maisha mazuri lazima pesa itumike.
So siwezi sema moja kwa moja kama siwezi kubali kuolewa na huyo mtu mwenye watoto 4, huenda he was just unlucky na wadada. Na pia he is very fetile, wasiwasi wa low sperm count haupo hapo. LOL
lazima utajiuliza kabla hujachukua hatua,hauwezi kuwa na mwaswali mengi kichwani why hao watatu wote waachwe nije nionwe mie ?
Kama anahela ,YES.
We mwanamke?
Umeniwahi kuulizaWe mwanamke?
Hapa inabidi tuwe mashuhuda tu wakati wenyewe wanatoa manenoah! kumbe wanawake tu! mimi nilikuwa nitoe ushuhuda wangu lakini bhaaaasi
hahahah Kaunga je utaamini vip kama wewe kakupenda kweli mpaka kaamua kukuoa?
Inawezekana. chamuhim hapo ni upendo tu. na suala la kuwaacha wote na kunioa mimi inawezekana ikawa mimi ndio mpango wa Mungu kwake...............