Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Hahaha!!! Si unaona mwenyewe kaiona
halafu wewe nishakununia kuanzia leo.
Hahaha!!! Si unaona mwenyewe kaiona
sidanganyikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tangu lini?
jana na leo.
Msokorokwinyo kweli wewe.
wewe utakuwa umehusu tandale.
Hiyo haikuji banaaa
kama vipi potezeaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Si ndo maana nimepaandika kwa kiingrezahapo red hapo unaweza kunishawishi
Dah! kipipi utaharibu movie ujue!heheheee! Kuna mtu unataka kumzamia nini? Manake hayo mabadiliko ya ghafla si mchezo!
Lini first date yetu? achana na madokta bana, kuna taimu wewe unahitaji kiss dokta anakuweka dripu. Imetokea sana Bangladesh hiimi nina wivu sana bora nimdate kloro muuza mitumba.
Yep, transit Zimbabweunamvunjia kloro heshima, mwenzio mitumba anaifata mwenyewe china.
2^x =4x......log
log2 ^x=log4x.
Xlog2=log(2^2)X.
Xlog2=log(2^2)+logX.
Xlog2=2log2+logX
logX=Xlog2-2log2
logX=(X-2)Log2
X=(X-2)2
X=2X-4
4=2X-X
X=4.
mmmmmmmh,wauza mitumba nao mna matatizo yenu mengi.Si ndo maana nimepaandika kwa kiingreza
Lini first date yetu? achana na madokta bana, kuna taimu wewe unahitaji kiss dokta anakuweka dripu. Imetokea sana Bangladesh hii
Kuna kiduduperson ashachafua cv nini? hayo matatizo njoo tuyajadili kwenye kadate bana! hapa sio mahala pake.mmmmmmmh,wauza mitumba nao mna matatizo yenu mengi.
Kuna kiduduperson ashachafua cv nini? hayo matatizo njoo tuyajadili kwenye kadate bana! hapa sio mahala pake.
Nakuhakikishia date ya kwanza tu basi utanenepa. Stanii
kuna binadamu mwenye mkia nyuma anakuchafulia cv.hajui kama we umehusu sumbawanga.
Jana tu kuna jamaa nimemtoa matege ya kwapa na jipu la ufizi. Mtahazarishe huyo mzembe.kuna binadamu mwenye mkia nyuma anakuchafulia cv.hajui kama we umehusu sumbawanga.
1. They are smart
2. They can give you a free medical consultation/advice
3. They give you a gift of 'missing' them because they are always at work
4. They are heavy party people on the weekends
5. They know anatomy well (know what works...when and where)
6. They are well trained to listen
7. They know how you feel...or atleast pretend to
8. They know what you want to hear...and say it
9. They always have a strange story to tell
10. They can stay up all night if you want them to
11. They are trained in breaking the bad news in a nicer way
12. They are unshockable
hahaha,huyo hapo chini kashakusoma,huyu adhabu yake ni kuuhamisha mkia wake ukae mbele.Jana tu kuna jamaa nimemtoa matege ya kwapa na jipu la ufizi. Mtahazarishe huyo mzembe.
Na wewe ukikataa date yangu nakugeuza kizee.
Na wewe hupitwi...hadi hili umekuja kulisema?
Na wewe hupitwi...hadi hili umekuja kulisema?
Khaaa! yaani kumbe rais wetu (wabeba maboksi) ndo anavulunda CV?hahaha,huyo hapo chini kashakusoma,huyu adhabu yake ni kuuhamisha mkia wake ukae mbele.