Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 643
Habarini wakuu,
Mimi nina mpenzi wangu ambae nimekuwa nae mda mrefu sasa na huduma zote za chumbani huwaga ananipa yeye tu, yaani sichepuki.
Ila cha ajabu naona kila siku zinavozidi kwenda, ladha ya tendo inapungua yaan utamu wa siku za nyuma haupo tena sikuhzi.
Hivi hii ishawahi kuwakuta wanaume wenzangu au ndo kuna shida gani
Mimi nina mpenzi wangu ambae nimekuwa nae mda mrefu sasa na huduma zote za chumbani huwaga ananipa yeye tu, yaani sichepuki.
Ila cha ajabu naona kila siku zinavozidi kwenda, ladha ya tendo inapungua yaan utamu wa siku za nyuma haupo tena sikuhzi.
Hivi hii ishawahi kuwakuta wanaume wenzangu au ndo kuna shida gani