Laboratory Assitant ina ajira?

Likin mkuu kuhusu koz hii veta sasa inakuwaje naskia et INA bezi sana viwandan je kwl? Sasa hapo ajira si mtihn

Ooooh! Sikuona hilo neno VETA hapo mwanzo nikajibu kwa kuhisi unataka kusoma Medical Laboratory. Hizo za VETA sifahamu ajira zake, lakini wale Technicians waliosoma vyuo vikuu na vile vya Nacte baadhi yao waliajiriwa kama walimu wa Sekondari
 
Kozi hii nimechaguliwa sasa bado sijaijua kiupana zaidi.unaweza kujikta wasomea kitu badae ikaja kuwa tatzo ukjikta umepoteza mda
Dogo langu inabidi nicheke..... Naomba nirudie... Kuna watu wamesoma 6 years na master's zao tupo nao mitaani wanahangaika.... Wewe ni nani?

Suala la ajira kwasasa ni ngumu kupata, jukumu lako kama wataka kusoma kasome ila wakati unasoma waza nje ya box......

Nikuulize umeahidiwa ajira baada ya kumaliza?
 
Mkuu Munamuge

Una uhakika mkuu hao lab scientists hawataki kufanya kazi halmashaurini ?
..

Nina washkaji zangu scientists watatu walioondoka Halmashauri baada ya kutoka shule, wengi wanakimbilia sehemu za mjini hasa zenye vyuo vya kati ambapo wanaweza kufanya part-time ya kufundisha.

Kama wengi wanafanya hivyo inaweza kuwa sababu ya Halmashauri kutoweka kada hiyo kwenye mahitaji yake.
 
Dogo langu inabidi nicheke..... Naomba nirudie... Kuna watu wamesoma 6 years na master's zao tupo nao mitaani wanahangaika.... Wewe ni nani?

Suala la ajira kwasasa ni ngumu kupata, jukumu lako kama wataka kusoma kasome ila wakati unasoma waza nje ya box......

Nikuulize umeahidiwa ajira baada ya kumaliza?
Brother ebu nielewe nn nauliza usijibu2 ili uchekeshe bunge. Mm nlitka kuelewesha kozi hii kwa veta inakuwaje yan kule ina bezi nn hasa
 
Duh haya mkuu.
Nina washkaji zangu scientists watatu walioondoka Halmashauri baada ya kutoka shule, wengi wanakimbilia sehemu za mjini hasa zenye vyuo vya kati ambapo wanaweza kufanya part-time ya kufundisha.

Kama wengi wanafanya hivyo inaweza kuwa sababu ya Halmashauri kutoweka kada hiyo kwenye mahitaji yake.
 
Jamani wadau naombeni msaada wenu mm nilifanya mthni wa kujiunga na veta mwaka Jana nikachaguliwa kozi hii LABORATORY ASSISTANT.

Hivyo wadau, naombeni msaada: je, kozi hii vp ajira yake yani soko lake katka kipind hiki je haina ugumu wa soko la ajira?
 
Ni kozi ya kazi za viwandani..wewe kasome mengine yatajipa mbele ya safari ili vyema kujiandaa kisaikolojia mana ajira za sasa ni ngumu sana..hivyo jitahidi usome ukiandaa na michongo mingine mana..mtaani hatuangalii cheti tunaangalia pesa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ni laboratory assistant katika category ipi?
Health laboratory..
Au lab zingine?
 
Jamani wadau naombeni msaada wenu mm nilifanya mthni wa kujiunga na veta mwaka Jana nikachaguliwa kozi hii LABORATORY ASSISTANT.

Hivyo wadau, naombeni msaada: je, kozi hii vp ajira yake yani soko lake katka kipind hiki je haina ugumu wa soko la ajira?
Assistant!! Jina la course lina mapungufu makubwa
 
Assistant ni certificate.

Tukirudi kwenye swali, kada zote za Afya zina ajira serikalini na vituo binafsi, ukitoa community health ambayo bado haijatambuliwa.

Laboratory Assistants ndio wamejazana huko vituo vya serikali hadi hospitali za wilaya, kuna halmashauri ukiwa Lab technician basi utapata shavu la kuwa DLT ama angalau Mkuu wa Idara katika hospitali ya halmashauri.

Bado inalipa kwakua Lab scientists hawapo tayari kufanya kazi halmashauri, kwahiyo nafasi zinabaki kuwa za hawa Technicians na Assistants.
wewe jamaa unapoteza dogo! ooh
 
wewe kasome lakin elewa unachosomea kuna jamaa aliipiga arusha Tech amejiajiri wilaya mwanga anatibu maji magumu yawe malaini maisha yanaenda
 
Kama Ni course ya Laboratory ya hapo Veta ,hiyo ina deal maabara za viwandani sio maabara za Afya.

Kuhusu ajira mmhh hapo ni mtihani mambo si mepesi hata kidogo , ajira Ni ngumu siku hizi Ni masuala ya bahati na connection .

Hiyo course kujiajiri Ni mtihani pia Ni ngumu kujiajiri .Kwa ushauri wangu ungechagua kusoma course nyingine hapo Veta ambazo unaweza kuajiriwa au kujiajiri , kuliko hiyo.
 
Back
Top Bottom