sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.
Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite
Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.
Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.
Je, ni kawaida?
Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite
Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.
Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.
Je, ni kawaida?