Labda CHADEMA wana-focus 'zamu za Urais' zisizo rasmi

Toosweet

JF-Expert Member
May 27, 2012
2,141
1,982
Kwenu,

Tunaomboleza bado. Ni siku ya mwisho.

Kila Mtanzania anaona kwamba urais wa nchi yetu unakwenda kwa zamu,;Mkristo-Mwislamu, Muislamu-Mkristo. Jambo hill halifanyiki kwa kuwa ni utaratibu ulioandikwa mahali, hapana. Ni 'uungwana' wa kuachiana kijiti ili kupunguza manung'uniko kuwa upande mmoja unapedelewa na mfumo. CCM ndiyo waasisi na hakuna aliyepinga.

Wakati wa uhai wake, Mwalimu Nyerere aliwahi kusemea jambo hili kwa tahadhari. Inakuwaje katika kuachiana, upande wenye zamu ukikosa mtu makini,lakini akalazimika kugombea ili kusiwe na kelele? Tutapata rais bomu. Hii ni true zaidi kwa upande wa CCM.

Kwa upande mwingine, kwa kuwa utaratibu huu ni wa 'kiungwana', haujapingwa na Watanzania, aghalabu kwa wazi, hata opposition parties(CHADEMA na labda CUF bara)wanaweza kuu-adopt.

Je, inawezekana Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, wanapanga kumsimamisha Maalim Seif Sharrif Hamad, Katibu Mkuu wa CUF kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020?

Ziko habari kuwa CHADEMA wanapanga kumwalika Maalim Seif kuja upande wao. Bado maombi rasmi hayajatumwa, wala Maalim Seif mwenyewe kutangaza kuridhia.
Kwa sasa Rais ni John Magufuli, Mkristo.
Labda plan hii inaweza kuwavutia waumini ambao ni sensitive linapokuja suala la imani na kiongozi wa nchi. Ni mtazamo tu. Just trying to think loud. No hard feelings.
 
CDM au Mbowe anachotafuta hapo ni ruzuku, ameshajua na ameshakubali na uhalisia Tz bara hatapata wabunge. Saivi anataka kumtumia Maalim ili apate wabunge kutoka Pemba kuziba pengo la wabunge wa bara kwenye ruzuku. Mbowe ni mjasiria siasa, acha tuone mchaga na mpemba nani ataruhisiwa kulala na pesa.
 
CDM au Mbowe anachotafuta hapo ni ruzuku, ameshajua na ameshakubali na uhalisia Tz bara hatapata wabunge. Saivi anataka kumtumia Maalim ili apate wabunge kutoka Pemba kuziba pengo la wabunge wa bara kwenye ruzuku. Mbowe ni mjasiria siasa, acha tuone mchaga na mpemba nani ataruhisiwa kulala na pesa.
Tusubiri tuone
 
Unapojadili mambo ya maana jaribuni kuwa na uelewa wa kutosha.
Hivi ni chama gani kilichokosa mvuto ambacho hutumia nguvu zote hata kuua kwa ajili ya kuiba kura? :) :) :) :)!!
Acha kujidanganya!
Bondia gani anamfunga mwenzake mikono na miguu halafu anatangaza ushindi?
Shame on you all stupid fuciem!
Mnadhani ni sufa lakini mumeaibisha nchi! Behaving like huligans!
 
Kwenu,

Tunaomboleza bado. Ni siku ya mwisho.

Kila Mtanzania anaona kwamba urais wa nchi yetu unakwenda kwa zamu,;Mkristo-Mwislamu, Muislamu-Mkristo. Jambo hill halifanyiki kwa kuwa ni utaratibu ulioandikwa mahali, hapana. Ni 'uungwana' wa kuachiana kijiti ili kupunguza manung'uniko kuwa upande mmoja unapedelewa na mfumo. CCM ndiyo waasisi na hakuna aliyepinga.

Wakati wa uhai wake, Mwalimu Nyerere aliwahi kusemea jambo hili kwa tahadhari. Inakuwaje katika kuachiana, upande wenye zamu ukikosa mtu makini,lakini akalazimika kugombea ili kusiwe na kelele? Tutapata rais bomu. Hii ni true zaidi kwa upande wa CCM.

Kwa upande mwingine, kwa kuwa utaratibu huu ni wa 'kiungwana', haujapingwa na Watanzania, aghalabu kwa wazi, hata opposition parties(CHADEMA na labda CUF bara)wanaweza kuu-adopt.

Je, inawezekana Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, wanapanga kumsimamisha Maalim Seif Sharrif Hamad, Katibu Mkuu wa CUF kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020?

Ziko habari kuwa CHADEMA wanapanga kumwalika Maalim Seif kuja upande wao. Bado maombi rasmi hayajatumwa, wala Maalim Seif mwenyewe kutangaza kuridhia.
Kwa sasa Rais ni John Magufuli, Mkristo.
Labda plan hii inaweza kuwavutia waumini ambao ni sensitive linapokuja suala la imani na kiongozi wa nchi. Ni mtazamo tu. Just trying to think loud. No hard feelings.

Hapo umepiga pembeni mkubwa.Kwa waumini wa kiislam nakuhakikishia hata SEIF aje na Sijida saizi ya kitumbua huku bara kura hapati mara mia tu wamrudishe Lowasa.Waislam tunajua Maalim ni fitna.Katika uislam fitna hana nafasi.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom