mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,962
- 2,474
Ndugu zangu wana JF inadaiwa Lukuvi alimhonga pesa na gari mgombea wa CHADEMA ili asishiriki kwenye uchaguzi pia alitaka kumtumia huyu Kapwani kwa nafasi yake ndani ya chama ili aharibu pia Iringa mjini, mipango ikagundulika baada ya hapo bwana Kapwani tiyari ni mlemavu maana alipatwa na stroke.
Hivi sasa karuhusiwa kurudi kwao, hawezi tena kutembea peke yake. HIYO NI LANA YA WAPENDA MABADILIKO?
Hivi sasa karuhusiwa kurudi kwao, hawezi tena kutembea peke yake. HIYO NI LANA YA WAPENDA MABADILIKO?