Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,126
- 10,842
Kuingia madarakani kwa Donald Trump ilikuwa kwa nguvu na njama za Israel ili kukamilisha agenda zao za kuimeza Palestina. Na kweli tangu kuingia madarakani matarajio yote ya Israel yametimia.
Amehamisha ubalozi ya Marekani kuupeleka mji wa Jerusalem ambao Wapelestina katika makubaliano yao ya awali ya kurejesha taifa lao walisema itakuwa ndio mji wao mkuu.
Baadaye akazuia fedha za kuwasaudia maskini wa kipalestina ambao umasikini wao unatokana na kuvunjiwa majumba yao na wayahudi na kunyang'anywa mashamba yao na pia kuzuiwa kufanya kazi ili kujipatia riziki kwa mikono yao.
Karibuni kabisa Trump amehalalisha ujenzi wa makazi ya Wayahudi kwenye maeneo ya Wapalestina.
Katika hali kama hii dua ya bibi yake Rashida Taib ambaye ni mbunge wa Congress aliyemuomba Allah subhaanahu wataala amuangamize Trump ni rahisi sana kufika na kupokelewa.
Leo hii anashtakiwa ili kutimuliwa madarakani na wajumbe wengi wa Congress tayari wamemshuku kuwa akili zake haziko sawa kuweza kuendelea kuliiongoza taifa hilo babe duniani.
Amehamisha ubalozi ya Marekani kuupeleka mji wa Jerusalem ambao Wapelestina katika makubaliano yao ya awali ya kurejesha taifa lao walisema itakuwa ndio mji wao mkuu.
Baadaye akazuia fedha za kuwasaudia maskini wa kipalestina ambao umasikini wao unatokana na kuvunjiwa majumba yao na wayahudi na kunyang'anywa mashamba yao na pia kuzuiwa kufanya kazi ili kujipatia riziki kwa mikono yao.
Karibuni kabisa Trump amehalalisha ujenzi wa makazi ya Wayahudi kwenye maeneo ya Wapalestina.
Katika hali kama hii dua ya bibi yake Rashida Taib ambaye ni mbunge wa Congress aliyemuomba Allah subhaanahu wataala amuangamize Trump ni rahisi sana kufika na kupokelewa.
Leo hii anashtakiwa ili kutimuliwa madarakani na wajumbe wengi wa Congress tayari wamemshuku kuwa akili zake haziko sawa kuweza kuendelea kuliiongoza taifa hilo babe duniani.