Watanzania mnapaswa kuelewa kuwa kinachomsumbua J. Kikwete katika uongozi wake ni laana ya Baba wa Taifa mwl. Nyerere mwaka ulee kina Kikwete, Lowasa walipotaka kuteuliwa wagombea urais kupitia CCM walitolewa maneno ambayo baba yetu hakuyameza na kuyarudisha. Malechela alisodolewa kipindi kileee yeye alipokuwa Waziri Mkuu akiwa kigeugeu juu ya Muungano zama za G55.
Watu hawa watatu kila wanapotaka kuibuka na kuinuka linatokea la kutokea wanazimika. Ebu, mwanglie Kikwete anadanganywa, aumbuka (alisaini sheria mpya kwa mbwembwe, akambwembweka); amechanganyikiwa, mwaka jana kawaambia watanzania kwamba Monduli na Igunga wawachague Lowasa na Rostam kwamba ni watu saaafi. Leo anawaambia watanzania hao ni mafisadi. (mwl. Nyerere alisema, tunayaona sasa).
Nimwambie Nape Nauye, kwamba mpendwa wetu mwl. Nyerere alishamwona Kikwete hafai kutuongoza, Lowasa hafai kutuongoza, Malechela halikadharika. Leo wewe unasimama kidete kumtetea na kumwosha Kikwete atakate, mbona humwoshi Lowasa pia? Swali ni hili kati ya wewe na mpendwa wetu, baba yetu mwl Nyerere nani yuko sahihi? TUNAOMBA MKOME KUMFANYA BABA YETU MWL. J.K. NYERERE AONEKANE KUWA ALIKUWA MZUSHI!
Watu hawa watatu kila wanapotaka kuibuka na kuinuka linatokea la kutokea wanazimika. Ebu, mwanglie Kikwete anadanganywa, aumbuka (alisaini sheria mpya kwa mbwembwe, akambwembweka); amechanganyikiwa, mwaka jana kawaambia watanzania kwamba Monduli na Igunga wawachague Lowasa na Rostam kwamba ni watu saaafi. Leo anawaambia watanzania hao ni mafisadi. (mwl. Nyerere alisema, tunayaona sasa).
Nimwambie Nape Nauye, kwamba mpendwa wetu mwl. Nyerere alishamwona Kikwete hafai kutuongoza, Lowasa hafai kutuongoza, Malechela halikadharika. Leo wewe unasimama kidete kumtetea na kumwosha Kikwete atakate, mbona humwoshi Lowasa pia? Swali ni hili kati ya wewe na mpendwa wetu, baba yetu mwl Nyerere nani yuko sahihi? TUNAOMBA MKOME KUMFANYA BABA YETU MWL. J.K. NYERERE AONEKANE KUWA ALIKUWA MZUSHI!