Laana ni nini?

Qunax

Senior Member
Oct 16, 2016
100
127
Kuna kijana ambae alimpiga bastola papa wa kule Roma lakini baadae yule kijana aliomba msamaha na papa akamsamehe japo bado jamaa kafungwa.
Kuna jamaa alimpiga kofi mwinyi (Raisi wa 2) kipindi kile lakini kwa kuwa ilikuwa ni maswala ya kiimani kijana aliomba msamaha na mwinyi akamsamehe.
Ila kuna kijana alimpigaga WARIOBA (Waziri mkuu mstaafu) sijui kama mzee aliombwa msamaha kama hakuombwa na bado ana kinyongo laana yake lazima itamtafuna mtu.
 
Kuna kijana ambae alimpiga bastola papa wa kule Roma lakini baadae yule kijana aliomba msamaha na papa akamsamehe japo bado jamaa kafungwa.
Kuna jamaa alimpiga kofi mwinyi (Raisi wa 2) kipindi kile lakini kwa kuwa ilikuwa ni maswala ya kiimani kijana aliomba msamaha na mwinyi akamsamehe.
Ila kuna kijana alimpigaga WARIOBA (Waziri mkuu mstaafu) sijui kama mzee aliombwa msamaha kama hakuombwa na bado ana kinyongo laana yake lazima itamtafuna mtu.
Kuna nguvu katika kuomba msamaha
 
Ninacho jua kinacho waunganisha wanaundugu ni damu tuu lkn haina maana ndgu lazima awe rafiki yako vile vile anaweza kua adui wako mkubwa..lkn hata mkuwa adui vp undugu upo pale pale
 
Kwa kweli alimzabua vibao vikali sana mzee warioba, sidhani kama atamsamehe hata kama akiomba msamaha
 
Back
Top Bottom