Laana na mikosi inayotokana na zinaa, hii kitu ina uhalisia?

Bora siye tunaopiga nyeto hatuwezi pata iyo mikosi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna madhara. Ungekuwa unafanya kazi kama za uwindaji, uvuvi au kwenye uchimbaji mdogo wa madini ungekuwa umeshaunganisha dot na kuyabaini. Mi huo mchezo nishaufanya na nilishautathimini kulingana na mapato ya siku husika. Tena bora hata uzinzi kuliko chaputa inavyofunga nyota katika kipato. Sema tu uzuri huwa gundu lake halidumu zaidi ya siku moja. Ndiyo maama huwa nivigumu kuyabaini matatizo yake. Maana kesho. mambo yanaenda sawa
 
Kuna madhara. Ungekuwa unafanya kazi kama za uwindaji, uvuvi au kwenye uchimbaji mdogo wa madini ungekuwa umeshaunganisha dot na kuyabaini. Mi huo mchezo nishaufanya na nilishautathimini kulingana na mapato ya siku husika. Tena bora hata uzinzi kuliko chaputa inavyofunga nyota katika kipato. Sema tu uzuri huwa gundu lake halidumu zaidi ya siku moja. Ndiyo maama huwa nivigumu kuyabaini matatizo yake. Maana kesho. mambo yanaenda sawa
Wasalimie igombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah, umenikumbusha mbali sana. Kunamanzi mmoja ilikua kila akija geto nikiweka mkeka lazma utiki.Nilikuja kunote baadae sana ila kiufupi nilipiga hela siku zote alizokuja mjengoni. Ila ghafla akapotea hadi kwenye simu apatikani. Wengine waliofuata ni nuksi tupu, mwisho wa siku nimeamua niishi peke yangu tu. Uzinzi ni nuksi tupu. Ni wanawake wachache sana unaweza kulala nao ukaona mafanikio.
 
Kuna madhara. Ungekuwa unafanya kazi kama za uwindaji, uvuvi au kwenye uchimbaji mdogo wa madini ungekuwa umeshaunganisha dot na kuyabaini. Mi huo mchezo nishaufanya na nilishautathimini kulingana na mapato ya siku husika. Tena bora hata uzinzi kuliko chaputa inavyofunga nyota katika kipato. Sema tu uzuri huwa gundu lake halidumu zaidi ya siku moja. Ndiyo maama huwa nivigumu kuyabaini matatizo yake. Maana kesho. mambo yanaenda sawa
Naendelea kujifunza mengi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Ni elimu za iman za zaman hawakuwa na vipimo na science kubwa
Ni sawa tu na Sasa hivi tunajua dhambi ya kukata miti ndio inayosababisha mvua iwe ndogo lakini zaman tulijua dhambi ya Uzinzi na Wana wanawake kukaa uchi ndio ilisababisha kutonyesha mvua
Kimsingi dhambi ya uzinzi analeta maradhi.fullstop
Hapa unachangany science na imani. Vitu ambavyo haviendani kabisaaaaaaa.
Umejib kisayansi.. mtoa mada ameuliza suala la kiimani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapofanya mapenzi na mtu jua kabisa mnabadilishana roho chafu na nzur, mizimu na laana zote za mabibi mnabadilishana, kama mmoja wenu alikuwa na mikosi inamwandama jua kabisa umeibeba na wew hio mikosi

Tendo la ndoa ni jambo kubwa mno watu siku hizi wamelichukulia kama kiburudisho, mpaka nyuma ya choo wanavuana vyupi


Ndio maana unaweza fanya na mtu leo mapenz ghafla kazin ukaanza kuchukiwa bila sababu, pesa inaanza kuonekana ngumu na inapotea kabisa, mambo yanaenda ovyo mpaka kazi unaweza timuliwa, unabaki unajiuliza tuu bila kujua

Sent using Jamii Forums mobile app
Mheshimiwa painkiller. Hii kitu ni sahihi kabisa yaani. Nimeshawahi ku experience mpaka nikajiuliza kuna siri gani hapa katikati.
Ukiwa na demu flan mambo yanaenda sawa.. ukiwa na mwingine ni matatizo mabalaa yanakuandama. Kuna siri gani katikati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanadamu tumepangiwa vipawa/karama mbali mbali tangu tukiwa wadogo,vipawa hivi vinaweza kuchafuka kutokana na matendo machafu ya kidunia ayatendayo mhusika.
Uzinzi au uasherati ni moja kati ya vitu vikubwa na rahisi vinavyoweza kuchafua nyota au kibali cha mtu,

Watu wanatembea sehemu mbali mbali na wanatenda mambo mengi mazuri kwa mabaya,sasa unapokuja kukutana na mtu ambaye mwili wake tayari umeshachafuka na ukafanya nae uzinzi tayari na wewe unakuachia vitu vyake ,nuksi mikosi na mabalaa aliyonayo munayashare wote

Tendo la ndoa huhusisha mwili na roho pia,makutano hayo ya wawili huwa ni makubaliano ya kiroho na mwili ndio mana kuivaa mikosi ya mtu ni kitu cha kawaida tu.

Wewe jifikirie mtu katoka kwa mganga na kaelezwa akakutane na mwanamke yeyote alale nae,kachanjwa machale na ndumba za kutosha,anatoka pale anaenda kwa kahaba,anamtangazia dau,anafanya yote anayojua kwa kahaba huyo.
Kisha na wewe unaenda kwa kahaba huyo huyo unalala nae ,unazani utakuwa salama?,hiyo mikosi yote aliyoachiwa kahaba na wewe unaivaa,

Haya mambo unaweza ukachukulia poa poa lakini huwa yanatesa sana watu.
Ndo maana hata vitabu vya dini vinapiga vita sana uzinzi,si kwa sababu ya kuonewa wivu kwa huo utamu,hapana,ni kutokana na tendo lenyewe adhimu lilivyo na mambo yanayoendana nalo,

Kuna watu waovu,wanamashetani,maruhani ya kutosha na wanamikosi na nuksi za kutosha hata ndege wa angani huwa wanawazomea wakipita,kuna watu hata akipita kwako mchana kweupe lakini utasikia anabwekewa na mbwa wako,hawafai ,hawana jambo linalowaendea sawa ,kila kukicha wao na waganga ,kila kukicha wanalazwa makabulini harafu leo unakuja na tamaa zako unachomeka dudu yako na inazama kabsa unaenjoy ,mmmh! Nakwambia hutatokapo salama,si mwanamke si mwanaume hiyo mikosi ipo pote na watu wanatembea nayo.

Wewe jiulize kwa nini unaenda interview mmoja anachukuliwa na mwingine anaachwa,huenda mmesoma chuo kimoja na taaluma yenu ni moja na viwango vya ufaulu huenda vipo sawa,kuna vitu wanadamu tunavyo vinavyotupa kukubalika mbele za watu au jamii na vyenyewe vinazidiana viwango classes, A to F,
Waswahili ndo huita nyota ,mimi ninakiita kibali,hiki kikikosekana ndo pale mtu anakuwa mtu wa kuonekana hana mana katika jamii,anakuwa ni mtu wa kupuuzwa tu,hata ukijaribu kuongea unashangaa anatokea mtu anatoa kejeri kwako na huenda ulikuwa na point nzuri tu.
Haijalishi uwe na elimu au usiwe na elimu,kibali kikikosekana ni shida katika maisha,utazunguka kuomba kazi hupati,utatafuta pesa usiku na mchana utatoka kapa tu.utasemesha mrembo balabalani lakini atakuignore kana kwamba anakujua mpka unapo lala ,kumbe waaala, ndo mmekutana

Tena waogope sana wadada wanaojiuza ,hao nuksi kwao huwa ni zakufikia,wanakutana na watu kutoka machimboni wameoga madawa na kuambiwa wakalale na wanawake, yani yale mabalaa wakawaachie,

Unakuta katoto miaka 16-18 kanajiuza kakipewa 20k jamaa linalala nako usiku kucha na asubui linaenda bafuni linaoga tena madawa linasepa,limekaachia mikosi yote na kubeba hata kidogo kalichonacho matokeo yake hako ka mdada kanakuwa na roho ya kukataliwa hadi uzeeni wake.

Mikosi wazee ipo na pia tuwe tunaangalia na familia za kuoa au kuolewa kuna zingine zina laana ya vizazi,ukijichomeka na wewe unaunga tela utashangaa mambo hayaendi kumbe mwenzako ana roho ya kuanguka na wewe imeshakuvaa hamuwezi kufika mbali .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah, umenikumbusha mbali sana. Kunamanzi mmoja ilikua kila akija geto nikiweka mkeka lazma utiki.Nilikuja kunote baadae sana ila kiufupi nilipiga hela siku zote alizokuja mjengoni. Ila ghafla akapotea hadi kwenye simu apatikani. Wengine waliofuata ni nuksi tupu, mwisho wa siku nimeamua niishi peke yangu tu. Uzinzi ni nuksi tupu. Ni wanawake wachache sana unaweza kulala nao ukaona mafanikio.
Imani zingine hizi!

cc FaizaFoxy
 
Wanadamu tumepangiwa vipawa/karama mbali mbali tangu tukiwa wadogo,vipawa hivi vinaweza kuchafuka kutokana na matendo machafu ya kidunia ayatendayo mhusika.
Uzinzi au uasherati ni moja kati ya vitu vikubwa na rahisi vinavyoweza kuchafua nyota au kibali cha mtu,

Watu wanatembea sehemu mbali mbali na wanatenda mambo mengi mazuri kwa mabaya,sasa unapokuja kukutana na mtu ambaye mwili wake tayari umeshachafuka na ukafanya nae uzinzi tayari na wewe unakuachia vitu vyake ,nuksi mikosi na mabalaa aliyonayo munayashare wote

Tendo la ndoa huhusisha mwili na roho pia,makutano hayo ya wawili huwa ni makubaliano ya kiroho na mwili ndio mana kuivaa mikosi ya mtu ni kitu cha kawaida tu.

Wewe jifikirie mtu katoka kwa mganga na kaelezwa akakutane na mwanamke yeyote alale nae,kachanjwa machale na ndumba za kutosha,anatoka pale anaenda kwa kahaba,anamtangazia dau,anafanya yote anayojua kwa kahaba huyo.
Kisha na wewe unaenda kwa kahaba huyo huyo unalala nae ,unazani utakuwa salama?,hiyo mikosi yote aliyoachiwa kahaba na wewe unaivaa,

Haya mambo unaweza ukachukulia poa poa lakini huwa yanatesa sana watu.
Ndo maana hata vitabu vya dini vinapiga vita sana uzinzi,si kwa sababu ya kuonewa wivu kwa huo utamu,hapana,ni kutokana na tendo lenyewe adhimu lilivyo na mambo yanayoendana nalo,

Kuna watu waovu,wanamashetani,maruhani ya kutosha na wanamikosi na nuksi za kutosha hata ndege wa angani huwa wanawazomea wakipita,kuna watu hata akipita kwako mchana kweupe lakini utasikia anabwekewa na mbwa wako,hawafai ,hawana jambo linalowaendea sawa ,kila kukicha wao na waganga ,kila kukicha wanalazwa makabulini harafu leo unakuja na tamaa zako unachomeka dudu yako na inazama kabsa unaenjoy ,mmmh! Nakwambia hutatokapo salama,si mwanamke si mwanaume hiyo mikosi ipo pote na watu wanatembea nayo.

Wewe jiulize kwa nini unaenda interview mmoja anachukuliwa na mwingine anaachwa,huenda mmesoma chuo kimoja na taaluma yenu ni moja na viwango vya ufaulu huenda vipo sawa,kuna vitu wanadamu tunavyo vinavyotupa kukubalika mbele za watu au jamii na vyenyewe vinazidiana viwango classes, A to F,
Waswahili ndo huita nyota ,mimi ninakiita kibali,hiki kikikosekana ndo pale mtu anakuwa mtu wa kuonekana hana mana katika jamii,anakuwa ni mtu wa kupuuzwa tu,hata ukijaribu kuongea unashangaa anatokea mtu anatoa kejeri kwako na huenda ulikuwa na point nzuri tu.
Haijalishi uwe na elimu au usiwe na elimu,kibali kikikosekana ni shida katika maisha,utazunguka kuomba kazi hupati,utatafuta pesa usiku na mchana utatoka kapa tu.utasemesha mrembo balabalani lakini atakuignore kana kwamba anakujua mpka unapo lala ,kumbe waaala, ndo mmekutana

Tena waogope sana wadada wanaojiuza ,hao nuksi kwao huwa ni zakufikia,wanakutana na watu kutoka machimboni wameoga madawa na kuambiwa wakalale na wanawake, yani yale mabalaa wakawaachie,

Unakuta katoto miaka 16-18 kanajiuza kakipewa 20k jamaa linalala nako usiku kucha na asubui linaenda bafuni linaoga tena madawa linasepa,limekaachia mikosi yote na kubeba hata kidogo kalichonacho matokeo yake hako ka mdada kanakuwa na roho ya kukataliwa hadi uzeeni wake.

Mikosi wazee ipo na pia tuwe tunaangalia na familia za kuoa au kuolewa kuna zingine zina laana ya vizazi,ukijichomeka na wewe unaunga tela utashangaa mambo hayaendi kumbe mwenzako ana roho ya kuanguka na wewe imeshakuvaa hamuwezi kufika mbali .

Sent using Jamii Forums mobile app
Somo mubashara..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom