Zionist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 1,830
- 2,881
Katika mambo ya kiroho, tumefahamishwa kwamba mwanaume na mwanamke wanapojamihiana kiroho huwa wanaungana/wanakaribiana kwa nafsi, kama sikosei. Kama ni hivyo, tunafahamu kuna watu wana mikosi, laana, balaa n.k.
Je, ni kweli wanapozini huambukizana pia hizo vitu...?
Wasalaam !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, ni kweli wanapozini huambukizana pia hizo vitu...?
Wasalaam !!!
Sent using Jamii Forums mobile app