Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ndugu wana JF nilikuwa naangalia news hapa kweli nime shake .Yule mama wa miaka 106 kutoka Geita hadi Dar kutafuta haki tena hana nauli kwa kuomba lift.
Kamtaja Ngeleja, Kamtaja Kafumu, na wengine. Katishiwa maisha , kaporwa eneo lake la madini na ni urithi. Kweli laana iko CCM na serikali yetu .Yule mama akahamie wapi afanye nini? Jamani nyie mnasemaje? Mmemuona mama analia hadharani ITV?
Kamtaja Ngeleja, Kamtaja Kafumu, na wengine. Katishiwa maisha , kaporwa eneo lake la madini na ni urithi. Kweli laana iko CCM na serikali yetu .Yule mama akahamie wapi afanye nini? Jamani nyie mnasemaje? Mmemuona mama analia hadharani ITV?