swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,662
- 19,880
Hawa watanzania wote wapo pamoja na ccm.
Walikuja kuangalia show ya juliana shonza
Hawa watanzania wote wapo pamoja na ccm.
Mkuu utakuwa umesahau unakumbuka ile laana ya familia yenu ambayo inawasumbua kila siku kibaya zaidi aliyewalaani hayupo tena.
Mkuu CCM siyo wapumbavu bali ni manyani,hawana utu hata chembe,si unaona hata michango yao JF ni ya kitaahira taahira tu, hawajibu hoja badala yake wanashambulia watu.-nina nukuu kauli ya baba wa taifa j.k nyerere. "kama kuna watawala wanadhani katiba haitungwi na wananchi basi hao watawala ni wapumbavu!" -je,c.c.m ni wapumbavu, kwa kukataa rasimu iliyobeba maoni yetu wanyonge?. Naomba jibu.
Ukitegemea kufadhiliwa basi we ndio una laana kubwa.Ni chama kikongwe nchini na africa pia lakini ukongwe wake inaonekana kimezeeka kwa kila kitu kuanzia mwili,akili hadi utendaji kazi.
-kina lea mafisadi,kina samehe matajiri kodi,kina viongozi wa bovu wanao wazia watauibiaje umma kwaajili ya matumbo yao.
-siyo cha wafanyakazi na wakulima tena,bali ni cha mabwanyenye na mafisadi.
-hakina dira kwa sasa wala mwelekeo,kinaendeshwa kwa matukio ya kupanga na kuhonga wapinzani wenye uchu na rupia kwa kushirikiana na uwt,policcem ili kudhoofisha upinzani japo hili wameshindwa kwa chama fulani makini kiitwacho chadema.
-chama kisichojali na kuthamini maoni na matakwa ya wanyonge na raia wake (katiba).
Kauli mbiu ilitolewa sasa imekuwa kinyume ni maisha mabaya kwa kila mtanzania.
"nauliza kina laana ya nani maana kina wafaszili wauza madawa ya kulevya,majangili, ,mafisadi,wahujumu,na viongozi legelege?
=je wamevunja miiko ya uongozi ya baba wa taifa julius k.nyerere au ni wao wenyewe wamejilaani kwa maovu yao wayatendayo?
:nauliza tu,naomba kujibiwa!
Ni mimi.
Mkuu utakuwa umesahau unakumbuka ile laana ya familia yenu ambayo inawasumbua kila siku kibaya zaidi aliyewalaani hayupo tena.
ni kweli kabisa kamanda na kudhulumu wajane mali zao ccm ni chama ni wahuni na washenzi wakubwaDhambi kubwa waliyoifanya ni kudhulumu nchi nzima , laana hii itakumba hadi wajukuu zao !