Laana iwe juu yako Profesa Rwekaza Mukandara kwa 'Slogan' hii

kazi yako kubwa ni hii uliyopewa ya ku post humu, nyingine huna...ndio mana una id nyingi

Si kweli kwamba lile unalolifanya wewe basi na sisi wengine tunalifanya. Yaani kwa kuwa wewe una ID zaidi ya moja basi na mimi ninazo pia? Zitanisaidia nini hizo IDs ambacho siwezi kufanya na ID moja? Jaribu kugrow kidogo ndugu hii c facebook ni jf. Hiyo mentality ya facebook iache huko huko hatuhitaji hapa!
 
Umejuaje kama aliyendika hapa hafanyi kazi zaidi ya kuandika posts hapa JF? Is this not very premature judgement? Huu ugreat-thinker wa siku hizi ni kiboko

kazi yako kubwa ni hii uliyopewa ya ku post humu, nyingine huna...ndio mana una id nyingi
 
Umejuaje kama aliyendika hapa hafanyi kazi zaidi ya kuandika posts hapa JF? Is this not very premature judgement? Huu ugreat-thinker wa siku hizi ni kiboko

kazi yako kubwa ni hii uliyopewa ya ku post humu, nyingine huna...ndio mana una id nyingi
 
Mtu wa Pwani,

Mimi siihitaji rangi ya Njano ama Kijani. Niko tayari kuwa na rangi ya Blue ama nyingine yeyote lakini si njano na CCM. Pumba nazo ni zipi? Unataka kusema kwamba si Mkandara ambaye aliwapa haya maneno wana CCM na JK kuanza kuruka nayo ama nimekugusa pabaya? Laana Mwenyezi ikushukie nawe uungane na Mkandara kwa kuwaimbisha watanzania na kumbe CCM tunawafanyia kitu kibaya wananchi. Tunawaibia na kuwahadaa kila mara.

Nasema laana hii ishuke .Imesha washukia watu wa serikalini ndiyo maana kila walicho kiiba sasa ni mkorogo mtupu. Mukandara na redet wako kimya wanaangalia namna ya kumuokoa mzee maana majuzi redet imesema nyumba ni chafu lakini mwenye nyumbani ni msafi . Slogans hizi sasa zitakufa soon Mukandara anza kutafuta mpya .
Nyinyi mnaotoa povu na milio sasa hivi juu ya serikali yenu ya CCM ndio wale mliokula pilau nyakati za kampeni na kupewa TShirt na Kofia, leo hii baada ya kuona hakuna anayekuangalia akiwa madarakani na wala huli tena pilau na kupewa Kofia ndio umegundua kuwa mlikuwa mnawahadaa watanzania, sasa hivi ndio mnajifanya mnauchungu sana na nchi yenu. We tulia tuliiii!Vumilia na umia kimyakimya tu nadhani mwaka 2015 tutakaposema CCM ni janga la Taifa tutaelewana na tutaongea Lugha moja.
 
Kasi zaidi ari zaidi nguvu zaidi. Jk alishaacha kutumia huo msemo na ule wa maisha bora kwa kila mtanzania. We umemlaani mkandara,mi Nalaani kwa nguvu zote chama cha majambazi (ccm) kwa kutuharibia nchi
 
Back
Top Bottom