La kwanza la 1999 tuna nuksi

julmiranda

Senior Member
Mar 21, 2016
171
148
Wale woote tulioanza shule mwaka 1999 huu mwaka ni mwaka wa nuksi kwetu aiseee dah sijui kwa kuwa ndio mwaka ambao baba wa taifa alitutoka khaaa tunapita kipindi kigumu mno katika taalimu yetu hebu tazama

1. sisi ndio tuliokuwa wahanga wa kukoleza sakata la shule za kata

2. sisi ndio tuliokuwa wahanga wa kusoma physics with chemistry na agriculture science kufutwa na bado ikaletwa tena mwezi june mchaka mchaka wake ulikuwa kero physics na chemistry ikatenganishwa

3. reforms nyingi za education curriculum zilibadilikia kwetu halafu wakubwa walikuwa wanasema tunajaribu kumbuka mtiani wa form four wa taifa kwenye tamthilia riwaya na ushairi kwenye mathematics topic ya acountance sijui imekuja siku ngapi tuanze necta

4. sisi tumefanya mtiani mtiani wa taifa form two kwa kurudia darasa ukifeli lkn waliofuata wakapita free , sisi form four tumelipa ada ya mtiani waliofuata wakafanya free with no any examination fee

5. darasa hili ndio lilitia saini ya kukubali kuwa utapelekwa shule yeyote utakayopangiwa na serikali ilimradi ipo tanzania na tukaanguka dole gumba kwenye form za tsm nine zile na kweli hili darasa ndio tukawa wahanga wa shule mpya za advance mikoani mfano mbeya kukawa na ileje , isongole,kyela day ,matema, iwalanje,madibira

6. tukiwa kidato cha sita kwa wale wa hgk, hkl na hgl na hge tukaletewa topic mpya za tafsiri na ukalimani (kiswahili) ,wet land in geography tena zikiwa bado wiki mbili kuanza mtiani wa taifa

7. tulipomaliza form six sisi ndio loan priority za course chuoni zilianza mpaka kupelekea watu kusoma kozi ambazo hawakupanga kufuatana na utaratibu mgumu wa guide book ya TCU ona ualimu ulivovamiwa mtu unamuona kabisa huyu fani yake mziki lkn yupo ualimu kisa loan priority kwa course za chuo zinazokuwa offered kule

8. kibaya sasa hili darasa la 1999 limehitimu chuo hatimae watu wake wamekaaa mwaka mzima mtaaani hawaelewi hata hatma yao ni nini

9.Form two tukaletewa book keeping na commerce tuisome ya tangu form one ila tusome yote form two..hayo ya mungai na mama sitta...

Kuna jaamaaa leo ndio kanichekesha kabisa anakuambia kelvin ningejua kama tutakaaa mwaka ningesoma kozi nyingine ya diploma nikatafuta kibarua kungine cha private nimecheka sana khaaa
 
Wale woote tulioanza shule mwaka 1999 huu mwaka ni mwaka wa nuksi kwetu aiseee dah sijui kwa kuwa ndio mwaka ambao baba wa taifa alitutoka khaaa tunapita kipindi kigumu mno katika taalimu yetu hebu tazama

1. sisi ndio tuliokuwa wahanga wa kukoleza sakata la shule za kata

2. sisi ndio tuliokuwa wahanga wa kusoma physics with chemistry na agriculture science kufutwa na bado ikaletwa tena mwezi june mchaka mchaka wake ulikuwa kero physics na chemistry ikatenganishwa

3. reforms nyingi za education curriculum zilibadilikia kwetu halafu wakubwa walikuwa wanasema tunajaribu kumbuka mtiani wa form four wa taifa kwenye tamthilia riwaya na ushairi kwenye mathematics topic ya acountance sijui imekuja siku ngapi tuanze necta

4. sisi tumefanya mtiani mtiani wa taifa form two kwa kurudia darasa ukifeli lkn waliofuata wakapita free , sisi form four tumelipa ada ya mtiani waliofuata wakafanya free with no any examination fee

5. darasa hili ndio lilitia saini ya kukubali kuwa utapelekwa shule yeyote utakayopangiwa na serikali ilimradi ipo tanzania na tukaanguka dole gumba kwenye form za tsm nine zile na kweli hili darasa ndio tukawa wahanga wa shule mpya za advance mikoani mfano mbeya kukawa na ileje , isongole,kyela day ,matema, iwalanje,madibira

6. tukiwa kidato cha sita kwa wale wa hgk, hkl na hgl na hge tukaletewa topic mpya za tafsiri na ukalimani (kiswahili) ,wet land in geography tena zikiwa bado wiki mbili kuanza mtiani wa taifa

7. tulipomaliza form six sisi ndio loan priority za course chuoni zilianza mpaka kupelekea watu kusoma kozi ambazo hawakupanga kufuatana na utaratibu mgumu wa guide book ya TCU ona ualimu ulivovamiwa mtu unamuona kabisa huyu fani yake mziki lkn yupo ualimu kisa loan priority kwa course za chuo zinazokuwa offered kule

8. kibaya sasa hili darasa la 1999 limehitimu chuo hatimae watu wake wamekaaa mwaka mzima mtaaani hawaelewi hata hatma yao ni nini

9.Form two tukaletewa book keeping na commerce tuisome ya tangu form one ila tusome yote form two..hayo ya mungai na mama sitta...

Kuna jaamaaa leo ndio kanichekesha kabisa anakuambia kelvin ningejua kama tutakaaa mwaka ningesoma kozi nyingine ya diploma nikatafuta kibarua kungine cha private nimecheka sana khaaa[/QUOTE


na bado wengine hata degree bado hatujapata... m.haki ya nani we jamaa umenitouch kumoyo
 
Syllabus ya Advanced Mathematics ilitubadilikia wanyuma walikuwa wanachangua section B , Maswali 6 unachagua 4 . Tumefika sisi kidato cha 6 nasikia Munafanya Maswali yote 10 . Kitu cha COORDINATE GEOMETRY II nilikipotezea sikupenda kujibia paper baada ya kupata taarifa ikabidi niaze kusoma.
 
Aisee kubishana na watu humu is a serious waste of time and energy, watu wenyewe walianza la kwanza 1999??? Duh!
haaa,we unataka ubishane na walioanza la kwanza 1940? ni udhaifu kushindwa kujadili hoja na vijana kisa umewazidi umri.ingekuwa umri unadetermine uelewa wa mtu katika kila jambo hapo sawa.mtu mzima nae anaweza ongea pumba pia
 
99 watu tunasubirua Y2K nyie ndio mnaanza shule ya msingi??!!! Ndio kwanza mmegraduate kindergarten na wengine ndio kwanza mmegraduate potty! With all due respect though poleni kwa majanga wanangu.

Ebu waeleze hawa watoto wanaojiona wana mvi na busara nyingi. Tunabishana na watu tuliowachambisha na kuwafundisha wenyewe jinsi ya kufuta masaburi cha!
 
Clueless14 kukuwa ni kujielewa,umri ni namba tu.huku mtaani kuna watu wazima lakini hawajakuwa.kwa hiyo mkuu usione hatari kudebate na wadogo zako(huoni bungeni wabunge vijana wanavyowachachafya wazee)hata kule kwenye jukwaa la mahusiano tunaweza kukupa ushauri mzuri tu lol!
 
Kumbe mleta maada ni mwanaume! Sasa kelvin inakuwaje umeweka picha ya kike? Hujawahi fatwa na wakware DM?
 
Kweli mkuu tuko pamoja.
Mabadiliko kibao mwaka wetu mfano mwingine ilikua kubadilika kwa vitabu eg
kufutwa kwa Things Fall apart by Chinua Acheb etc
Yan Mkosi kule plan B nako ooooh Mpaka Mujibu watoke.
Sawa Bana Ila yote Kheri , Mpaka sasa hv kizuri ni kwamba Degree tunazo na tuko full wao tu wafanye yao vijana tuingie mzigoni.
 
Back
Top Bottom