LA DOWANS: Sitta afungwa mdomo; Ikulu yakanusha!

Kikao cha baraza la mawaziri ni siri na kimefanyika ikulu, kwa ulinzi mkali lakini siri za kikao chote zipo kweye gazeti la tanzania daima!!!!

Kutokana na makala ya absoloni kibanda , ya leo ,kikwete anatakiwa kuwafukuza kazi mawaziri wote waliovujisha siri za kikao hicho!!!
Hakuna aliye immune na athari maamuzi hayo ya wakubwa fulani kutaka kuifilisi nchi hii...
Kama mawaziri wanajiona wako immune, basi ndugu zao na wakwe zao kijijini watagaragazwa tu...
So hawana sababu ya kuficha siri(uchafu) huo...
 
Hakuna aliye immune na athari maamuzi hayo ya wakubwa fulani kutaka kuifilisi nchi hii...
Kama mawaziri wanajiona wako immune, basi ndugu zao na wakwe zao kijijini watagaragazwa tu...
So hawana sababu ya kuficha siri(uchafu) huo...

nimekupata mkuu, hakuna siri tena kwa wakati huu tulionao ni mambo yote kuwa wazi
 
Tunahitaji viongozi wenye msimamo mkubwa sana sitta na mwakyembe wanaweza kuwa na msimamo lakini linapokuja suala la maslahi nadhani hawana uwezo wa kufanya maamuzi mazito kama kujiuzulu uwaziri..

Sasa basi tuwaache wakae huko waliko tukutane bungeni halafu tutajua nini cha kufanya. Ila siku watakaposema kuwa walizuiwa kuongea na rais au katibu kiongozi au waziri mkuu au yeyote ule hapo tutawashikia chini ni kwa nini walikubali kunyamaza wakati wakijua kuwa watanzania wanaonewa???
 
Hakuna aliye immune na athari maamuzi hayo ya wakubwa fulani kutaka kuifilisi nchi hii...
Kama mawaziri wanajiona wako immune, basi ndugu zao na wakwe zao kijijini watagaragazwa tu...
So hawana sababu ya kuficha siri(uchafu) huo...
Sawa kabisa kijana hakuna cha siri, kila jambolitawekwa wazi. Huyu Mhs ajiandae kuondoka kwa imperchment very soon than you expect. Wabunge Mawaziri kazeni buti!!!!!!!!!!!
 
Nauli yake kuhamia Jeda bado haijatosha jamani.

Mi habari hizi nimezisikia jana jioni nikiwa napigiwa kiatu brashi kwenye kijiwe kimoja hivi kule Mji Mwema Kigamboni na nikayachukulia mzaha tu.

Ha, kufika mjini posta mpya leo asubuhi nakuta habari kwenye gazeti ndio hiyo nikapigwa na butwa.
 
Manaibu Waziri nao huwa wanahudhuria vikao vya Baraza la Mawaziri?

Manaibu waziri si wajumbe wa baraza la mawaziri kwa mujibu wa katiba. Naona mwandishi amechapia tu. Mwakyembe haingii kwenye baraza la mawaziri.
 
Sitta na Mwakyembe kazeni uzi, mungu atawalinda kupitia mikono yetu wananchi wazurumiwa!

Na we JK utatuuliaa chama chetu kumbuka hiyo DOWANS ndiyo kaburi la ccm!:frusty:
 
yanakaribia kutimia. JK ameamua kuvaa suicide bombs ili apate hela ya kutorokea Uarabuni. Watz matakubali au hamko tayari ? Arusha people mko juu mbayaaa?'
 
Tunisia inaikaribia Tanzania au Tanzania inaikaribia Tunisia????
Siku watu wakiwa Lupango wamenywea kwa kuminywa pumbu zao wengu tushangaa kwa nini walikuwa wababe?
 
Hii ni sawa na mtu ulokole anautaka na bia anaitaka...shame on them

images



Uongo hako Kapovu hakaongopi Ulokole unawekwa pembeni kwa saa chache.
 
Kikao cha baraza la mawaziri ni siri na kimefanyika ikulu, kwa ulinzi mkali lakini siri za kikao chote zipo kweye gazeti la tanzania daima!

Baba askofu, kwa heshima na taadhima usiingie kwenye dhambi ya uwongo kama baadhi ya mapadre, kwa mujibu wa Luhanjo hakukuwa na kikao cha baraza la maziri jana hibyo taarifa zote ni uongo.
Angalizo:
Tanzania Daima lazima iangalie vyanzo vyake vya habari maana si vyote vinavyoitakia mema.
 
Nauli yake kuhamia Jeda bado haijatosha jamani.

Mi habari hizi nimezisikia jana jioni nikiwa napigiwa kiatu brashi kwenye kijiwe kimoja hivi kule Mji Mwema Kigamboni na nikayachukulia mzaha tu.

Ha, kufika mjini posta mpya leo asubuhi nakuta habari kwenye gazeti ndio hiyo nikapigwa na butwa.

Kama umepata breaking news kwa shoe shiner ndo kielelezo kuwa hamna siri, hata wanandoa wakitaka kuachana kinachoanza ni kuvuja kwa siri za ndoa kwanza then crisis up to breakage of marriage! Jk kazi kwako!:A S 39:
 
Wote wapayukaji hakuna kiongozi tuna ombwe la uongozi. Swali ni je pesa za uchaguzi zitalipwaje kama dowans haijalipwa? Piga ua lazima dowans ilipwe twende sawa tumetumia pesa nyingi uchaguzi huu uliopita bila mihela, polisi , jeshi, usalama na uchakachuaji -basi ingekula kwetu. Jamaani achane tulipe. Sitta na mwakyembe sawa roho inawauma kwa kujua ukweli lakini pia wamesahau kwamba ra ndie aliyetupatia hela zote za mabango -lazima tumlipe dowas piga ua galagaza hata kama mkiandamana kama tunisia.
 
Baba askofu, kwa heshima na taadhima usiingie kwenye dhambi ya uwongo kama baadhi ya mapadre, kwa mujibu wa Luhanjo hakukuwa na kikao cha baraza la maziri jana hibyo taarifa zote ni uongo.
Angalizo:
Tanzania Daima lazima iangalie vyanzo vyake vya habari maana si vyote vinavyoitakia mema.
ushaambiwa ni siri ilikua unadhani hata kama watu wamegundua wao watakubali?
 
Jamani kama kweli ni hivyo basi kinachosemwa kuwa kuna OMBWE la uongozi nikweli kabisa na inabidi wajipange maana hiyo nibalaaaaaaaaaaaaaa.
 
Mi nimependa ile post ya glasi3 za safari bariiidi.
Mengine mnayoongelea sihitaji kuongezea coz tutaimba saana lkn hii mijamaa itachukua hela yetu.
Dah ningekuwa mmasai ningewatukana tusi zito lakikwetu.
 
Back
Top Bottom