Aldonae
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 598
- 393
Kiinglish hutopata ladha kamili.Asikwambie mtuuu!!!!Shida ya hiii iko kwa kispanish plus sabtitle uhondo wote unakwisha. Season 1 nimeangalia episode moja pekee.
Kiinglish hutopata ladha kamili.Asikwambie mtuuu!!!!Shida ya hiii iko kwa kispanish plus sabtitle uhondo wote unakwisha. Season 1 nimeangalia episode moja pekee.
Napenda Sana watu wanaojiamini kupitia za Berlin Ni kiboko ya madoaMchezo ulitakiwa chezwa ndani ya siku 13 hii ni sababu ya kuchimba taratibu sana ili Polisi wasisikie vibration wakajua wapi panachimbwa!.
Plan ya Proffessor ilikuwa 100% perfect na aliimplement padogo sana, aliyeharibu plan alikuwa Tokyo (she is a hot headed) na baadae Denver ila TOKYO akifa hataacha maumivu!.
My guess: Nairobi anakuja Africa!
R.I.P Mr. Berlin!
Watu walisema Berlin hajafa kumbe uongo ni flashback zake tu!.Napenda Sana watu wanaojiamini kupitia za Berlin Ni kiboko ya madoa
Watu walisema Berlin hajafa kumbe uongo ni flashback zake tu!.
Ila Palermo nae kama Berlin tu
Tell me about money heist. Ninayo kwenye externsl ila hua nadharau kuiangalia naons ya hovyoWatu walisema Berlin hajafa kumbe uongo ni flashback zake tu!.
Ila Palermo nae kama Berlin tu
Watu walisema Berlin hajafa kumbe uongo ni flashback zake tu!.
Ila Palermo nae kama Berlin tu
kwenye hii season ya 3 nadhani ndio byebye baada ya watu kuwaelewa mno mpk kuanzisha naandamano prof kakosea ku ajiri, kaweka watu ambao sio strategic kabisa... nadhani ilikuwa ndo nia yao ili movie iishe kwa stail ile, afadhak wasingetoa hio 3
Itafte mzee kuna purofesa humoJana naongea na mtu, namuuliza unafanya nini? Ananiambia anaangalia "Money Heist".
Nikasema nitaitafuta niangalie.
Itafte mzee kuna purofesa humoJana naongea na mtu, namuuliza unafanya nini? Ananiambia anaangalia "Money Heist".
Nikasema nitaitafuta niangalie.
Season 1 na 2 iko vizuri season 3 wameipoza kidgo ili season 4 moto uwakeTell me about money heist. Ninayo kwenye externsl ila hua nadharau kuiangalia naons ya hovyo
Kuna jamaa anaitwa Proffesor kipindi mtoto alikuwa mgonjwa so most ya utoto wake akauspend kitandani. But baba yake alikuwa ni mwizi aliyekuja kufa kwa kupiga risasi alipoiba bank ili apate hela kumtibu dogo!. Hapo ndio hate ilipoanzia.Tell me about money heist. Ninayo kwenye externsl ila hua nadharau kuiangalia naons ya hovyo