Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,800
- 8,781
Hii ndio nchi yetu ambayo inajali wananchi na kuwasogezea huduma. Hili ni jengo la Tanesco lenye thamani ya milioni 408.
--
Mchanganuo wa gharama zilizotumika kujenga ofisi ya TANESCO Wilaya ya Kyerwa, Kagera ambayo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekataa kuifungua (TZS):
1. Chumba cha walinzi: Milioni 7
2. Uzio: Milioni 94.2
3. Jengo la ofisi: Milioni 253.8
4. Stoo: Milioni 51.55.
Jengo la walinzi lililogharimu Tzs Milioni 7.3
--
Mchanganuo wa gharama zilizotumika kujenga ofisi ya TANESCO Wilaya ya Kyerwa, Kagera ambayo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekataa kuifungua (TZS):
1. Chumba cha walinzi: Milioni 7
2. Uzio: Milioni 94.2
3. Jengo la ofisi: Milioni 253.8
4. Stoo: Milioni 51.55.
Jengo la walinzi lililogharimu Tzs Milioni 7.3