Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
AJALI: Basi la abiria Kampuni ya Fikoshi Investment linayofanya safari zake kati ya Kaisho-Bukoba-Mwanza limepata ajali eneo la Nkwenda Wilayani Kyerwa.
Katika ajali hiyo Kondakta wa basi hilo amefariki papo hapo, na majeruhi wengine wamekimbizwa katika Hospitali teule ya Nyakahanga na Kituo cha Afya Nkwenda.
Katika ajali hiyo Kondakta wa basi hilo amefariki papo hapo, na majeruhi wengine wamekimbizwa katika Hospitali teule ya Nyakahanga na Kituo cha Afya Nkwenda.