Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,378
Hali hii imeanza kuleta mashaka ndani ya chama cha zamani baada ya mtaji wake wa miaka mingi ambao ni wazee kuanza kumeguka kwa kasi .
Shida kubwa inayoikumba ccm Kyela ni sera yake mbovu ya kurudisha vyama vya Ushirika vinavyowakopa wakulima mazao yao ikiwemo cocoa , badala ya makampuni binafsi yaliyokuwa yananunua kwa cash , makampuni binafsi yamepigwa vita na kusababisha dhiki kwa wakulima .
CCM imekataliwa Kyela kwa moyo mkunjufu kabisa ili kupiga vita umasikini.
Video :
Shida kubwa inayoikumba ccm Kyela ni sera yake mbovu ya kurudisha vyama vya Ushirika vinavyowakopa wakulima mazao yao ikiwemo cocoa , badala ya makampuni binafsi yaliyokuwa yananunua kwa cash , makampuni binafsi yamepigwa vita na kusababisha dhiki kwa wakulima .
CCM imekataliwa Kyela kwa moyo mkunjufu kabisa ili kupiga vita umasikini.
Video :