Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Waanze kupanda mibuyu kwa ajili ya matumizi ya hapo baadae kwa ajili ya vikao
hujui kituHivi digital unahitaji ukumbi? Chadema watakuwa walikuwa na lao jambo kuita watu ukumbini ambalo sio digital
Digital hata siku moja haihitaji ukumbi wala mti
Cdm ni mpango wa munguHapa ndipo Nchi nzuri ya Tanzania ilipofikishwa na Watu waoga walioshindwa hoja .
Taarifa inaonyesha kwamba Wamiliki wote wa kumbi za mikutano Mjini Kyela wamepewa onyo la kutowapa nafasi kwenye kumbi zao Chadema kwa ajili ya shughuli zao , Watakaokiuka onyo hilo watabambikwa kesi za uhujumu uchumi na utakakatishaji fedha .
Hata hivyo Wanachama wa Chadema Kyela imebidi wajichukulie nafasi kwenye Ukumbi wa Mungu mwenyezi , ambapo ni chini ya miti ili waendelee na mipango yao kufanya usajili kwa njia ya kisasa ya Chadema Digital
View attachment 1994673
Mungu ibariki Chadema .
Mlishindwa propaganda ya ukabila, udini, ukanda cdm ikazidi kuchanua, Sasa mnajaribu ya ugaidi ambayo mmeishafeli tayarituwe makini sana na hawa wafuasi wa mboe hawa watu wana chembe chembe za kihalifu.
wanapaswa watupiwe macho muda wote hadi wanapo jisaidia.
Niko na wewe leo.Acha unafiki kwani bila kuandika upuuzi huwezi kulipwa?Kuandika kwenyewe hujuituwe makini sana na hawa wafuasi wa mboe hawa watu wana chembe chembe za kihalifu.
wanapaswa watupiwe macho muda wote hadi wanapo jisaidia.
Karibu sana mkuuDah, vitendo walivyofanyiwa hiki chama yanapelekea watu wengi sana kukielewa. Binafsi napenda sana mipangiliao yao ya mavazi hasa kombati zile.
Mwl JK Nyerere hakuwa muoga wa ushindani.Inasikitisha sana kuona Taifa letu limejaa hofu, Mwalimu alilaani sana vitendo kama hivi vya kuwafanya wananchi kuishi kwa wasiwasi katika nchi yao huru, sasa ni nini maana ya uhuru huu.
Bila cdm sasa hivi tungekuwa kama Zimbabwe
Aliwahi kusema CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANIMwl JK Nyerere hakuwa muoga wa ushindani.
Hawa tulionao kwa sasa ni waoga wa ushindani
Hawa tulio nao ni waoga utadhani siyo wazaliwa wa Tanzania.Aliwahi kusema CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
karatasi laweza kuwa zitoCCM wepesi sana kama karatasi - Mh F.A Mbowe
Tutasajiri hata kwenye Caves ikibidi.Hapa ndipo Nchi nzuri ya Tanzania ilipofikishwa na Watu waoga walioshindwa hoja .
Taarifa inaonyesha kwamba Wamiliki wote wa kumbi za mikutano Mjini Kyela wamepewa onyo la kutowapa nafasi kwenye kumbi zao Chadema kwa ajili ya shughuli zao , Watakaokiuka onyo hilo watabambikwa kesi za uhujumu uchumi na utakakatishaji fedha .
Hata hivyo Wanachama wa Chadema Kyela imebidi wajichukulie nafasi kwenye Ukumbi wa Mungu mwenyezi , ambapo ni chini ya miti ili waendelee na mipango yao kufanya usajili kwa njia ya kisasa ya Chadema Digital
View attachment 1994673
Mungu ibariki Chadema .
Kila mahali chadema inaongelewa kwa mazuri.Sasa nimekubali kwa kweli Chadema ipo kwenye mioyo ya watu.