idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,305
Kwa hiyo tuanze kuchukulia maagizo yake kikanda na sio kitaifa.!Kumbuka yupo Kanda pendwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo tuanze kuchukulia maagizo yake kikanda na sio kitaifa.!Kumbuka yupo Kanda pendwa
Wamekamatwa = wamekatazwaHeshima kwenu wakuu,
Nmeshangaa kuona rais Magufuli akiwaruhusu watu kulima kwenye vyanzo vya maji na kuwapa hela kwamba ni wazalendo wachapa kazi. Kamuachia maagizo mkuu wa Wilaya wasiwabugudhi.
Hayo yanejiri baada ya hivi karibuni Freeman Mbowe kuharibiwa shamba lake la mbogamboga kwamba alilima sehemuoevu.
Hii inawachanganya Watendaji na Wananchi. Bwana Shamba alishawakataza. Huku Hai mambo ni tofauti.
Je ni kweli Wanasiasa wa Upinzani wananyanyaswa au wanaonewa?
Mwanza watu wamekatwa kubomoreshwa kisa walimppa kura wakati wale wa Kimara waliompa kura Lowassa wakibomolewa nyumba zao.
Je ni kweli Wanasiasa wa Upinzani wananyanyaswa au wanaonewa?
Who the hell is Mbowe?
Hahahaha mchepuko wa mbowe naona unamtaadhalisha mwenzako asikuibie.Oyaa mbowe ameshaowa wewe bi mdogo acha kujipendekeza pambana na maisha yako,period.
Mkuu upo? Kitambo sana humu jamvinMbowe alilima kwenye chanzo cha maji, hao aliowasemea Rais hawajalima kwenye chanzo cha maji.
Nipo tele mkuu.Mkuu upo? Kitambo sana humu jamvin
Ona unavojikenua kama chizi aliyeona jalala jipya.Hahahaha mchepuko wa mbowe naona unamtaadhalisha mwenzako asikuibie.
Swissme