Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Dawa ya kutibu Kwikwi Chukua mua mweusi Kamua upate maji yake Uchanganye na asali safi ya nyukiunywe inshallah utapona. Tumia kisha uje unipe maendeleo ya Dawa yangu Give me a feedback mkuu.@Mtali chanzo. https://www.jamiiforums.com/jf-doct...eli-au-hakuna-dawa-nisaidieni-jibu-wadau.htmljamani naomba kufahamishwa tatizo la kwikwi kwa mtu mzima linatokana na nini? Nini athari zake? je kuna matibabu ya kwikwi?
Mkuu distazo badala ya kumpa jamaa Dawa ya kwikwi wewe unatutukana Eti Sie Wazaramo tunauwanakwa maradhi ya Kwikwi? ahhhhhhhhhWazaramo wanauana wenyewe kwa wenyewe kwa kwikwi waulize watakujibu.