Kwetu tunapohesabu wafu, wenzetu sasa wako kwenye kurejea maisha yao ya kawaida

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,817
35,827
Wenzetu baada ya kuweka jitihada za dhati kuzuia ugonjwa wa Corona kusambaa, sasa wao wanapanga kurejea maisha ya kawaida. Wanazo takwimu zote muhimu. Sasa wanajua mashule lini yafunguliwe na lini warejee vipi kwenye maisha ya kawaida:

IMG-20200502-WA0001.jpg

IMG-20200501-WA0001.jpg


IMG-20200501-WA0002.jpg


Kwetu tuko hapa:

Corona State.jpg


Hatuna takwimu za watu tunaofuatilia wala waliomo quarantine.

Tupo tunasubiria kudra za mwenyezi Mungu na sasa wataalamu wa kufukiza nyungu nao ndiyo wamesha shika usukani kutuhubiria imani zao.
 
Unafikiri huko hakuna maambukizi tena?

Sent using Jamii Forums mobile app

Namba zinaongea mkuu. Tatizo si maambukizi bali udhibiti wa maambukizi.

Maambukizi yakishadhibitiwa vilivyo maisha ya kawaida yanarudi. Kudhibiti maana yake ni kuhakikisha maambukizi hayaongezeki. Kama hayaongezeki maana yake ndiyo kwisha huko yakhe!

Kwetu hatuna hata takwimu za tunaofuatilia wala waliomo quarantine. Bado huoni tofauti zilizopo mkuu? Tofauti hizo ndiyo zinazotupeleka kwenye namba:

Kwao vifo zito, kwetu tunapukutika kama unavyoona au kama alivyothibitisha mheshimiwa Makonda.
 
Rwanda inatesa Raia wake

Mkuu unawaongelea kina Azory, kina Ben au Lissu? Au hawa wanaoambukizwa Corona kila siku? Au hawa wanaozikwa usiku usiku kwa kushindwa kupumua au ndugu zao wanaoshuhudia hayo?

Ndiyo hao unawaongelea kuwa Rwanda inawatesa?

Au umeandika kiyahudi mkuu?
 
Wewe ukiitwa mjinga utakataa?
Mkuu unawaongelea kina Azory, kina Ben au Lissu? Au hawa wanaoambukizwa Corona kila siku? Au hawa wanaozikwa usiku usiku kwa kushindwa kupumua au ndugu zao wanaoshudia hayo?

Ndiyo hao unawaongelea kuwa Rwanda inawatesa?

Au umeandika kiyahudi mkuu?
 
New cases/maambukizi mapya ni imported cases kutoka kwa madereva wa malori. Viva Rwanda
Wenzetu baada ya kuweka jitihada za dhati kuzuia ugonjwa wa Corona kusambaa, sasa wao wanapanga kurejea maisha ya kawaida. Wanazo takwimu zote muhimu. Sasa wanajua mashule lini yafunguliwe na lini warejee vipi kwenye maisha ya kawaida:

View attachment 1437362
View attachment 1437367

View attachment 1437365

Kwetu tuko hapa:

View attachment 1437370

Hatuna takwimu za watu tunaofuatilia wala waliomo quarantine.

Tupo tunasubiria kudra za mwenyezi Mungu na sasa wataalamu wa kufukiza nyungu nao ndiyo wamesha shika usukani kutuhubiria imani zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ukiitwa mjinga utakataa?

Hujihurumii? Uwepo wa mavuvuzela waunga mkono juhudi kwa kila hali (you name it) kunafahamika.

Kwamba hujui wanaoteseka hapa nchini.

Utakuwa katika majinga wewe ni baba lao!

Nadhani hadi hapo umemfahamu vilivyo anayewatesa raia wake.
 
Huu urojo ulioandika peleka ufipa
Hujihurumii? Uwepo wa mavuvuzela naunga mkono juhudi kwa kila hali (you name it) kunafahamika.

Kwamba hujui wanaoteseka hapa nchini.

Utakuwa katika majinga wewe ni baba lao!

Nadhani hadi hapo umemfahamu vilivyo anayewatesa raia wake.
 
New cases/maambukizi mapya ni imported cases kutoka kwa madereva wa malori. Viva Rwanda

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni mjinga na lofa tu ambaye hawezi kuuona ukweli huo.

Nchi hiyo ni landlocked na ina raslimali ndogo kuliko sisi, achilia mbali population density yao among the highest in the world.

Eti tujifukize nyungu. Ni vyema wakafahamu si wote tuko tayari kuhusishwa na mambo ya kienyeji, kijinga, kishirikina, kidini, kimatambiko nk.

Hayo wakae nayo wao.

Tanzania kama nchi haina dini wala imani za mazindiko!
 
How? Tz tested wangapi mnaishi kama robot. Where is your strategy?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa Tanzania hizo ati labda ni siri kama zile sera za Mrema na NCCR ya wakati ule.

Ila ukweli ni kuwa wameamua wa kufa afe na wa kupona apone wakati wakisubiria labda beberu atagundua tiba au chanjo.
 
Hawa sio watu wazuri aisee, yaani sisi tumeacha miapa wazi ili kuwasidia lakini baada ya kukaa sawa wameamua kutufungia!
 
Huu urojo ulioandika peleka ufipa

Hamtatutoa kwenye hoja hata mpige mavuvuzela kiasi gani. Wafahamisheni mabwana (masters) zenu, mmekwama na jitihada za kulifanyia siasa suala hili zimeshindwa.

Kwamba siasa wafahamisheni wanaopiga kelele hawatakuuwa drawn huko?

Wewe kama unawahitaji wana ufipa wafuate waliko Ila hapa sisi tutakomaa na aliye na mamlaka ya kuusimamisha ugonjwa huu hali haifanyi hivyo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom